Wakuu habar zenu mimi na shida simu yangu inanisumbua camera. Itel a32f, camera inaonesha giza nimepeleka kwa fundi akabadilisha akaweka camera zingine lakini bado inaonesha giza tu nimejaribu pia kwa fundi mwingine kabadisha kaweka zingine lakini inaonesha hivyo hivyo kuback up naye nimeback up...
Wakuu habari zenu poleni na kazi mimi ni kijana wa Kiislam ila nimefuga nywele maana yake na dread kichwani sasa kwa wale ambao wanajua je wenye dread wanaruhusiwa kufunga?
Naombeni mnijuze nimeuliza watu kadhaa wameniambia haifai yaani nikifunga na hizi nywele kichwani nitakuwa nakaa na njaa...
Habari zenu wana JF yote,
Mimi ni kijana mwenye miaka 22 ninaishi Arusha elimu yangu nimeishia Darasa 7 nimetoka kijijini toka 2014 nilikuwa nafanya kazi kwa wahindi kusambaza bidhaa mbalimbali za maduka kwasababu Wahindi wana maduka mengi hapa mjini toka Corona iingie wafanyakazi itabidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.