"Wabongo mtu huwa na majina matatu".
"Hawana haya mambo ya jina la baba. Ni jina la mtu na familia basi"
Kwa hiyo unaona mfumo wetu ni wa hovyo na wao ndio bora.?
Mental slavery ni mbaya sana. Yaani mtu anakosa kujiamini na kujithamini hadi anajidharau.
Kuna bwana aliulizwa. 'sisi huku...
Mliokuwa wafuasi wa JPM(kama mimi) acheni wenge. He is gone. Hatorudi kamwe. Na samia ndio Rais. Jifunzeni kumuheshimu, aligombea na kupigiwa kura, urais wake sio wa hisani.
Usijitoe ufahamu, mradi wa ujenzi wa nyumba za marais ni takwa la kisheria na jpm ndio muasisi.
Hujajibu swali, dini sahihi unaipima vipi? Huwezi uthibitisha usahihi wa jambo kisa limejitamka kuwa ni sahihi.
mf huwezi sema Katiba ya Nchi fulani ni bora kwa sababu tu katiba hiyo imetamka yenyewe ni katiba bora.
Ndipo ujinga na hatari ya hizi dini ulipo. Dini inapohubiri yenyewe ni bora kuliko nyingine hatimaye huwafanya waumini wake wajione sahihi na watu bora zaidi ya wengine. Hizi ndio huzaa itikadi za mauji.
Dini ni uumbaji wa mwanadamu. Mungu hana dini yoyote. Nilishaachana na dini za kimapokeo hizi. Dini hizi za kimapokeo Zinatatizo kuu moja, zinatengeneza ubaguzi na utengano wa binadamu. Dini yangu kwa sasa inaongozwa na imani kuu ya UTU. Ninafuata sayansi(kwani Mungu alipomuumba mwanadamu alimpa...
Waswahili bana, hadi mambo ya vyumbani kwa watu mnayajua. Eti ameteswa. Saikojia ndogo tu, mtu hadi anaugua kwa kufiwa halafu unapiga porojo hapa eti alikuwa akiteswa! Kuwa hater ni shida sana.
Kwa hiyo mzee wewe umeamua kuwa hater wa Rais Samia. Pole sana maana kuwa hater ni kazi ngumu sana.
By the way, hakuna mtawala asiyetaka kuungwa mkono na makundi ya kijamii. Ni kanuni ya utawala. Hata JPM unayemsuhudu alifanya haya.
Swali, hivi mzee anaweza kukopeshwa? Akafanye biashara gani...
Utapiamlo kwa kiingereza ni Malnutrition (mal=bad, nutrion). Hivyo ni mlo mbaya. Inaweza kuwa ni ukosefu wa vyakula[huna chakula] au mpangilio mbaya wa vyakula[unavyo lakini unakula hovyo hovyo bila kuzingatia kanuni za mlo kamili.
Unachosema waruhusiwe kuendelea na shule kwa sababu watakufa wakati wanatoa mimba!? Kwa fikra hizi za kubembeleza, basi na wanaofeli wapitishwe tu maana huwa wanajiua kwa sababu ya matokeo mabaya.
We jamaa bana, dalili za sonona hizi, kila jambo kwako wewe chanzo ni JPM.
Sheria ya kukataza Pregnant girls wasirudi shule ina maana magufuli ndio kaianzisha? Ushasoma tafiti juu ya madhara ya kuwarudisha shule mabinti?
Kwa manufaa yako tu, tafiti zinahitimisha kuwa kuruhusu wajawazito...
Huu ni upumbavu. 25 yrs ya ujamaa, imetuathiri kwa upande mwingine. Hii dunia ni ya mapambano, ukilemaa na kulaza ubongo utabebewa mali yako na hata kutawaliwa kabisa. Maendeleo si lelemama. Why tuzalishe sisi halafu major exporters wawe wao!? Maana yake tumelala.
Wakati Rais amefanya ziara yenye kujadili mustakabali wa kibiashara baina ya raia wa nchi hizo mbili, raia wake anafungua mjadala wa kuulizia habari za kwanini hajaambatana mmewe!!!. PATHETIC!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.