Kipindi cha mwendazake watu walikua na adabu hasa kufuata sheria bila shuruti ila kwa sasa Mama wanamchukulia poa, pale Jangwani barabara za Kasi wako MP kabisa inamaa Polisi nao wamweshindwa kazi.
Tanzania ni nchi ambayo kufuata sheria hasa kwa viongozi ni kitendawili wakati Ulaya ndio takwa...
Hivi kweli maisha ya huko Bongo yalivyo tait unamuongezea mshahara mtumishi Tsh 8567 then bank wanakula makato ya Tsh 9500 kweli jamani, mtafika mbinguni mmechoka sana ndugu zangu
Kuna anayejua baada ya Ripoti ya CAG what next? madudu yameonekana, kibaaao hasa kwa wale watoto pendwa wa mwendakwao ,lakini sioni kama kuna nia ya dhati ya kuchukua hatua.
Nampongeza Masudi Kipanya kwa ubunifu wa kile kigari chake, kuna watu wanajiita wasomi lakini hawajawahi kubuni hata mswaki, watu wengi wenye wivu tabia zao zinafanana yaani badala ya watu kumtia moyo na kumpongeza wanambeza, huku maprofesa wakijikita kukamata wasichana sapu ili wahongwe ngono...
Wanasiasa wengi wa CCM ni wachumia tumbo, walikuwa wapi kipindi cha jiwe kujifanya wanatetea wananchi na kuhoji matumizi ya fedha? sasahivi wanajifanya wanafunguka eti wanatetea wananchi
Naomba kujuzwa wanabodi yule Dkt. Mhede aliyepelekwa kule Mwendokasi ameshafanya nini cha maana katika mradi ule? Maana nakumbuka kuna mtu alitumbuliwa pale.
Rudisheni Token ama fedha za watu mlizokata wakati mna tatizo la mfumo wa LUKU, ni muda sasa hela hamrudishi Token hamtoi, hamuoni kama huu ni wizi kama wizi mwingine?
Kwenye mitandao ya simu mtu akipata shida ya miamala ndani ya saa 24 hela zake zinarudi nyinyi mna tatizo gani , watu walinunua...
Wiki mbili zilizopita Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa alitembelea Mwendokasi Dar es Salaam, aligundua madudu ikiwemo tiketi feki za kusafiria yule jamaa alipewa maiki akapata kigugumizi kaishia wapi, maana tuliambiwa Mamlaka yake ya Uteuzi inapewa taarifa, mbona hatujapata mwendelezo?
Kuna ufisadi mkubwa unaendelea wakala wa mwendokasi ambao unahusisha wanaojiita wataalam wa tehama, iko hivi kuna mfumo unaandaliwa wa ukusanyaji nauli kwa njia ya kielektroniki ambao kwa sasa haujakamilika na una zaidi ya mwaka mmpoja sasa.
Mfumo huo unatengenezwa na wakala wa mwendokasi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.