Jana kwenye ITV wameonyesha kipande cha clip wanainchi wa Kikongo Kibaha wakilalamika kuporwa ardhi na mwekezaji Kaluwa , nikakumbuka kuwa ugomvi huu JPM Aliiumaliza vizuri sana mbele ya TV kadhaa na watanzania wote tukishuhudia leo kweli lukuvi yupo benchi ? Kina kaluwa wamerudi kwa full...
Simu nyingine hazina YTube ndio maana imeombwa kujuzwa, lakini kama ni lazima Wamasai kuhama basi nao wamasai wapate dhamana ya kitu kidogo kinachotokana na wanyama kwa maisha yao yote ili mwarabu asije kupenya kama alivyozoea.... serikali ibaki na ardhi kama zile nyumba zaa magomeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.