Umeuliza swali uli ujibiwe, Ukiangalia Muundo wa Halmshauri Chombo Cha juu cha kufanya maamuzi ni baraza la Madiwani na mwenyekiti wake ni Mayor/Mwenyekiti wa Halmashauri na DED ni katibu wao.
Hivyo basi kiutawala Mayor/Mwenyekiti ni Mkubwa kwa kuwa huliongoza baraza kusimamia utendaji kazi wa...
Kozi zote mbili zinamshahara unaofanana wakati wa kuingilia kazini, ila taasisi nyingi zina uhaba wa maafisa habari/ Uhusiano wa umma.
Suala la fursa linategemea na taasisi unayofanyia kazi
Ndugu yangu bila shaka wewe ni mwalimu.
Mtendaji kata hawezi amka usingizini akanza kuchangisha fedha bila vikao kuridhia mchango na matumizi yake.
Pili kama unaona haki hazifuatwi katika kudai michango kuna mamlka za kupeleka malalamiko yako.
Mwisho punguza kuandika kwa kuegemea upande mmoja...
Mkuu kigezo cha miaka 15 kinaangaliwa Tangu aanze kufanya kazi ya Uhakimu, hivyo kwa kuwa alikuwa Jaji wa Mahakama kuu anakuwa anayo sifa ya moja kwa moja ya kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaani na kiapo chake sio bati.
Kasome vizuri katiba na uieleww
Mifugo hulipiwa kaondi katika ngazi ya Halmaahauri, kuna kodi kibali cha kusafirisha, kuna ushuru wa machinjio, pia mifugo wanapokuwa kwenye minada hulipiwa ushuru. Wafanyabiaahara wa mazao ya mifugo pia hulipa kodi.
Kikubwa kinachohitajika ni kutoa elimu kwa wafugaji kufuga kisasa na kwa tija...
Soma sh
Soma sheria na uelewe. Rais sio Mtumishi wa Umma ila ni kiongozi wa Umma.
Pili eneo la Kazi la Rais ni eneo lote la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tatu Rais anaweza kaa sehemu yoyote ambapo pana ikulu ndogo na akaendelea kutimiza Majukumu yake.
Nne kiti cha Rais hakiwezi hesabika kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.