Nawasalimu wana jf, leo nimekuja na hii dhana ya Ushairi kwa mujibu wa
Sheikh Amri Abed Kaluta:
"shairi ni wimbo hivyo kama shairi haliimbiki shairi hilo halina maana"
Je, dhana hii bado ina nafasi katika uga wa sasa wa ushairi ambao umeendele sana?
Karibuni kwa michango.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.