Ngoma ya Drake aliyomshirikisha Kayla na Wizkid. Ngoma iitwayo One Dance imefikisha Streaming Bilion 2 kwenye mtandao wa Spotify.
Unadhani Wizkid anahitaji pongezi kwa hilo?
Wadau habari za Asubuhi hope ni kwema,Poleni na majukumu.
Kifupi tu nahitaji msaada jinsi ya kufuta post zangu zote za Instagram kwa pamoja. Post zaidi ya 900. Nafanyaje? Msaada plz
#Forgive Me
Ndugu zangu poleni na majukumu,Poleni na Msiba wa Taifa hili.
Naomba niwapeleke kwenye burudani kidogo hasa mziki wa Hip-Hop.
Kuna jamaa aliimba nyimbo flani ambazo nikizisikiliza najisemea jamaa yupo wapi? Na vipi mziki kaacha au?
Namzungumzia Roho 7 Mnamkumbuka? Kuna hits zake mbili kwangu...
Wakuu kwema? Poleni na majukumu.
Hivi kati ya Fireboy Na Joe Boy nani hatari zaidi kwenye muziki wa Afrika na Nigeria kwa ujumla.
Nani anaflow nzuri zaidi,Lyrics kali,hits n.k.
Fireboy vs Joe Boy
Hivi kati ya huyu Wizkid anaejiita Star Boy na Davido nani mkali kwenye nyanja zote za Muziki kuanzia Afrika na nje ya Afrika, Nani zaidi Wizzy au Davido
JASON DERULO🙌
Get Ugly
Ridin Solo
Want to want me
Other Side
Stupid love🙌🙌🙌
Talk Dirty
Try Me ft Jlo🙌
Kiss the sky
Swalla.
Jason Derulo alikuwaga hatari Sana.....Siku za karibuni jamaa amepoa sana shida nini sijui..
Alitengeneza hits kweli kweli,...Wangapi tunamkubali Jason...
Hiyo Stupid...
Hivi kuna mwanamuziki gani pale America anaweza kubattle na Chris Brown kwenye Hits?
Yani anaweza kuwa na hits kali kumzidi Chris Brown (kwa wale wanaoimba)?
Wakuu naomba mwenye kuzijua zile ngoma kali za Hip hop zinazogusa maisha yani zinazoimba kuhusu Haso zitajwe hapa nahitaji kuzipakua.
Mafano kama zile za Darasa.
Sikati tamaa,Nishike Mkono n.k
Majibu yenu plz
Tupia jina la ngoma kali za mbele ambazo kila ukisikiliza huwezi kuchoka ili tupate playlist hapa. Naanza mimi.
Chris Brown__Loyality
Enrique Iglesias_Bailando
Wizkid_Daddy yo
Didy_Coming home
Jay Z_4rever young
Kendrick Lamar_,humble
Wiz khalifa__see you again
Simi_Duduke
Ladipoe ft Simi_Know...
Kwa kutumia vigezo vya Tuzo za ndani na nje ya Afrika, Mauzo ya Album, Show kali za kimataifa (matamasha makubwa), Hits n.k
Unafikiri nani msanii bora wa Afrika kwa sasa?
Enrique Iglesias__Hero
Enrique Iglesias_Escap
Enrique Iglesias_Somebody Me
Enrique Iglesias__Why Not Me
Enrique Iglesias__Addicted
Enrique Iglesias__Only a Woman
Enrique iglesias Takin back my love ft Ciara.
Enrique Iglesias__Your my number One🙌🙌🙌
Enrique Iglesias ft Lonel Rich__ To Love a...
Hello guys mambo vp? Poleni na majukumu.
Ipi ngoma kali kati ya hizi mbili.
Enrique Iglesias__Bailando(English Version) VS Luis Fonsi ft Daddy Yanke__Despacito.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.