Hayo umesemA wewe, lakini jiulize kwanini hakatizi mjini!..
Last two weeks ilikuwa aje kuzindua chanjo za measles, na magari ya matangazo yalitangaza mpaka D-Day, lakini dakika za mwisho wanaompenda walimwonya kuwa asijaribishe kusogeza pua yake A-Town!...na kwa usikivu wake aliamua kumtuma...
Mkuu Indume Yene!
Sikutegemea comment ya aina hii, at least kutoka kwa mgu anayeheshimika sana kama wewe!...Kwa jinsi hii naamini unamlaumu hata yeye kuwepo kwenye uzinduzi usiku huu!...MentALITY ya namna hii ni mbaya san!...Relaxation katika kazi yoyote ni muhimu!
Unless wewe ni mgeni kabisa na...
Huuh!
My Gooosh!
Lakini wakiwaambia ukweli mtupu mtapenda?...Ukiambiwa kuwa "nilikuwa na wanaume 6 kabla yako" utasimamisha hiyo nanihiino?
Kubali yaishe kwamba nyie wenyewe mnapenda kudanganywa!
Sijui wewe unaishi wapi hadi uwe mgumu kuelewa, lakini kwa ufupi mji wa Arusha uko katika Next Level!
Wana Arusha wana uwezo wa kufanya japo kitendo chochote ili kuonyesha wanachoamini na kusimamia mioyoni mwao.
Nimeshudia leo dereva mmoja wa magari yanayoenda kwa jina la MILANO(wanaoishi...
Unauliza wangemfanya nini?
Waulize wasaidizi wake wakwambie kwanini wameamua kum'risk kwa kumpitisha kwenye kiwanja kilicho kwenye ujenzi, wakati KIA ipo na inaendelea na operations!
Mbali ya ujenzi, Arusha ilikuwa na Weather mbaya kabisa asubuhi alipotua, lakini altenative ilikuwa ni Arusha...
Wakuu,
Leo hii JK alikuwa huko Monduli Arusha kutunuku kamisheni za Maafisa wa Jeshi.
Taarifa za kuwasili kwa JK Arusha zilianza ziku chache zilizopita ambapo ilikuwa apitie uwanja wa ndege wa KIA, ndipo aingie kwenye msafara wa magari hadi Arusha, kutokana na sababu kuwa kiwanja cha ndege...
Wakubwa,
uKITAKA kujua uhondo wa ngoma, ni uingie ucheze.
Nimependezwa sana na jukwaa lenu, naomba ukaribisho wenu!
Nilikuwa nasoma hoja zenu motomoto, leo nimeamua kujitosa moja kwa moja!
Mnanikaribisha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.