Search results

  1. A

    Ili kuboresha elimu, Serikali iachane na mpango wa mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti 'grade A'

    Katika kuboresha sekta ya elimu nchini, ni wakati sahihi wa serikali kupitia wizara ya elimu na tamisemi kuachana na mpango wa kutoa mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti almaarufu 'grade A' Sababu ni hizi, 1. Mafunzo ya ualimu wa 'grade A' hayawaandai walimu hao kuendana na soko la dunia kwenye...
  2. A

    Kuingiza siasa kwenye elimu ni kitu kibaya sana. Sioni kama kuna umuhimu wowote wa kuanzisha somo la Historia ya Tanzania

    Tumekuwa tukipiga kelele kuhusu matatizo yaliyopo kwenye mfumo wetu wa elimu. Miongoni mwa matatizo hayo ni pamoja na mitaala inayotumika kutowapa wanafunzi maarifa na uwezo wa kujitegemea baada ya kumaliza masomo yao. Cha kushangaza badala ya kuumiza vichwa kutafuta suluhu ya haya matatizo...
  3. A

    Napinga hoja zilizotolewa na Mbunge wa Kahama kuruhusu Wanafunzi kuvaa viatu vya aina yoyote na mambo mengine aliyoshauri Serikali

    Leo kwenye uzinduzi wa ofisi ya makao makuu ya wilaya ya kahama, mbunge wa jimbo hilo mh. Kishimba ameiomba serikali kupiga marufuku wanafunzi kulazimishwa kununua madaftari aina ya 'counter book'. Pia ameiomba serikali kuruhusu wanafunzi kuvaa viatu vya rangi yoyote kwakuwa viatu havisaidii...
  4. A

    Mpango wa kufuta ualimu ngazi ya cheti 'grade A' ni mkakati wa kuboresha Sekta ya Elimu nchini. Usibezwe!

    Katika kuboresha sekta ya elimu nchini, wizara ya elimu ilikuwa sahihi kabisa kufuta mtaala na mafunzo ya ualimu wa ngazi ya cheti 'grade A'. Sababu ni hizi, 1. Mafunzo ya ualimu wa 'grade A' hayawaandai walimu hao kuendana na soko la dunia kwenye ajira. Sababu ni kwamba mafunzo wanayopata...
  5. A

    Suala la 'viboko' kwanini waathirika wakuu wa kadhia hii ni walimu wa shule za msingi?

    imeshakuwa kama desturi kila mwaka kuripotiwa tukio la mwalimu kuchapwa 'viboko' ama kunaswa 'vibao' na wadau mbali mbali wa elimu wakiwemo maofisa elimu, walimu wakuu, watendaji mbali mbali wa serikali na wazazi. Aidha kadhia hii imeshamiri sana kwa shule za msingi huku wahanga wakubwa wakiwa...
  6. A

    Mfumo/sera ya elimu ya sasa ndio chanzo cha tatizo la madarasa na matatizo mengine

    Sera ya sasa ya elimu na mafunzo inayolenga kutoa elimu ya msingi kwa wote "Universal Primary Education For All" ni sera mbovu inayozalisha matatizo nchini. Awali, sera ya elimu ililenga kutoa elimu ya msingi kwa kila mtoto kuanzia darasa la kwanza hadi darasa la saba. Baadae mfumo na sera ya...
  7. A

    Serikali pitieni upya Sera ya 'Elimu Bure', ikiwezekana ifutwe kabisa

    Ingawa ni jambo jema kwa serikali kutoa elimu bure ili kusaidia watoto watokao kaya maskini kupata elimu ya msingi lakini huu mpango unafaa kuangaliwa upya kwa sababu utekelezaji wake una hasara nyingi kuliko faida. Hasara ya kwanza: Tangu kuanzishwa kwa sera ya elimu bure, serikali imeshindwa...
  8. A

    TAMISEMI imerudia kuajiri walimu wa UPE?

    Katika muendelezo wa kubaini uozo uliopo kwenye ajira za walimu hatimaye nimekutana na walimu ambao elimu zao za kidato cha nne zinaacha maswali mengi kutokana na namba zao za kidato cha nne kutotambulika na baraza la mitihani (NECTA). 1. SHAFII MOHAMED NAMKURUNG'UNDU Mtajwa hapo juu...
  9. A

    TAMISEMI yaajiri walimu hewa waliotumia Namba za Kidato cha Nne za wanafunzi walioko masomoni

    Baada ya mkanganyiko wa namba za kidato cha nne za wanafunzi walio maliza mwaka jana (2019) kujitokeza kwenye ajira mpya za walimu zilizotangazwa na tamisemi, nimefanya uchunguzi na kubaini madudu yafuatayo:, 1. Nimebaini kuwa ALLY MIRAJI SHALUA ambaye ameajiriwa na tamisemi kwenda kufundisha...
  10. A

    TAMISEMI imeajiri mtu aliyepata divisheni ZERO kwenda kufundisha watoto wetu

    Ni mwendelezo wa kubaini mapungufu na ukiritimba uliofanywa na TAMISEMI kwenye ajira za ualimu Round hii namleta kwenu ABDU SHABANI ALLY mwalimu mtarajiwa shule ya msingi mkalama halmashauri ya Gairo. Katika uchunguzi wangu nimebaini kuwa ABDU ALLY ametumia nambari ya kidato cha nne ya binti...
  11. A

    TAMISEMI imemwajiri Babu Lembrice Peter kwa kutumia namba ya kidato cha nne ya mtu mwingine

    Ukistaajabu ya Abdallah Shonde utayaona ya "Babu Lembrice Peter" mwalimu mtarajiwa shule ya msingi Maliwa. Tukiwa tunaendelea kubaini madudu na ukiritimba uliofanywa na TAMISEMI kwenye ajira mpya za walimu, nimebaini kuna mtu ameajiriwa kwa kutumia index namba ya kidato cha nne ya mtu mwingine...
  12. A

    Uchaguzi 2020 Uchaguzi wa mwaka huu uwe fundisho la mwisho kwenu wapenda mabadiliko

    Inasikitisha kwamba pamoja na chaguzi za mfumo wa vyama vingi zilizopita bado watu hamjalielewa somo badala yake mmekuwa mkirudia makosa yale yale kila baada ya miaka mitano. inawezekana kweli somo ni gumu kuelewa lakini hata picha hamuoni? unakuta mtu na akili zake timamu anaacha kufanya...
Back
Top Bottom