Search results

  1. A

    Ili kuboresha elimu, Serikali iachane na mpango wa mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti 'grade A'

    Vigezo bado ni vile vile vilifutwa lakini baadye vilirejeshwa ndivyo vinatumika mpaka sasa
  2. A

    Ili kuboresha elimu, Serikali iachane na mpango wa mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti 'grade A'

    Katika kuboresha sekta ya elimu nchini, ni wakati sahihi wa serikali kupitia wizara ya elimu na tamisemi kuachana na mpango wa kutoa mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti almaarufu 'grade A' Sababu ni hizi, 1. Mafunzo ya ualimu wa 'grade A' hayawaandai walimu hao kuendana na soko la dunia kwenye...
  3. A

    Kuingiza siasa kwenye elimu ni kitu kibaya sana. Sioni kama kuna umuhimu wowote wa kuanzisha somo la Historia ya Tanzania

    Mheshimiwa Samia, Rais wetu kwa heshima yako naomba usitishe mchakato wa hili somo la historia ya Tanzania kwa sababu somo hili lipo linaendelea kufundishwa mashuleni isitoshe ni somo ambalo lilitaka kuanzishwa kwa interest binafsi za kisiasa hivyo halina maana yoyote kwa wanafunzi pia kwa...
  4. A

    Kuingiza siasa kwenye elimu ni kitu kibaya sana. Sioni kama kuna umuhimu wowote wa kuanzisha somo la Historia ya Tanzania

    Hizi nondo ndio za kufanyia kazi sasa sio tena kuhangaika na historia ambayo tayari ipo
  5. A

    Kuingiza siasa kwenye elimu ni kitu kibaya sana. Sioni kama kuna umuhimu wowote wa kuanzisha somo la Historia ya Tanzania

    Somo la history ya zinjathropus na chimpanzee litaendeleo kuwepo na hili jipya litakuwepo linajitegemea ila yote yana 'specific objective' moja i.e yatakuwa ni masomo mawili tofauti yanayoelezea kitu kile kile 'historia'
  6. A

    Kuingiza siasa kwenye elimu ni kitu kibaya sana. Sioni kama kuna umuhimu wowote wa kuanzisha somo la Historia ya Tanzania

    Unafikiri kwa mtazamo wako jinsi unavyoona ni kipi kitaongezeka kwenye hilo somo ambacho kwa sasa wanafunzi hawafundishwi?
  7. A

    Kuingiza siasa kwenye elimu ni kitu kibaya sana. Sioni kama kuna umuhimu wowote wa kuanzisha somo la Historia ya Tanzania

    Sikupingi lakini mbona hata sasa historia ya nchi yetu inafundishwa shuleni? Vipya gani vinatarajiwa kuongezewa kwenye somo la historia ya tanzania ambavyo havifundishwi kwa sasa? Karibu utoe majibu
  8. A

    Kuingiza siasa kwenye elimu ni kitu kibaya sana. Sioni kama kuna umuhimu wowote wa kuanzisha somo la Historia ya Tanzania

    Sidhani kama kutakuwa na jipya kwasababu historia ya tanzania mpaka sasa inafundishwa shuleni kuanzia msingi hadi ngazi za juu
  9. A

    Kuingiza siasa kwenye elimu ni kitu kibaya sana. Sioni kama kuna umuhimu wowote wa kuanzisha somo la Historia ya Tanzania

    Kelele zinasaidia kufikisha ujumbe kwa watawala kwamba hiki kitu hatukubaliani nacho. hata kama watapuuza mawazo yetu lakini ujumbe utakuwa umefika
  10. A

    Kuingiza siasa kwenye elimu ni kitu kibaya sana. Sioni kama kuna umuhimu wowote wa kuanzisha somo la Historia ya Tanzania

    Asante kwa mawazo mazuri mkuu. Umeongea vitu vya msingi mno. Mungu akubariki na akuzidishie maarifa mengine zaidi na zaidi
  11. A

    Kuingiza siasa kwenye elimu ni kitu kibaya sana. Sioni kama kuna umuhimu wowote wa kuanzisha somo la Historia ya Tanzania

    Kwani wanafunzi sasahivi hawafundishwi hiyo historia? Jipya gani litakuwepo kwenye hilo somo ambalo kwa sasa alifundishwi?
  12. A

    Kuingiza siasa kwenye elimu ni kitu kibaya sana. Sioni kama kuna umuhimu wowote wa kuanzisha somo la Historia ya Tanzania

    Mpaka sasa watoto wanafundishwa historia ya Tanzania kwenye somo la maarifa ya jamii, uraia na historia. Ni kipi kinachokosekana/hakifundishwi katika masomo hayo hadi tufikie uamzi wa kuanzisha historia ya tanzania kuwa somo linalojitegemea?
  13. A

    Kuingiza siasa kwenye elimu ni kitu kibaya sana. Sioni kama kuna umuhimu wowote wa kuanzisha somo la Historia ya Tanzania

    Asante dada pongezi zako nimezipokea, kiukweli ni jambo la kushangaza kidogo kwa sababu karibia vitu vyote vinavyohusiana na historia ya nchi hii kuanzia chimbuko la tanganyika, harakati za kusaka uhuru, kupata uhuru hadi hapa tulipo vyote wanafunzi wanafundishwa. sasa sijui ni vitu gani...
  14. A

    Kuingiza siasa kwenye elimu ni kitu kibaya sana. Sioni kama kuna umuhimu wowote wa kuanzisha somo la Historia ya Tanzania

    Bwashee mimi ni mtanzania mzalendo nisiyefungamana na upande wowote wa chama. Twambie, somo la historia ya Tanzania litakuwa na manufaa gani kwa wanafunzi katika maisha ya kawaida baada ya kumaliza masomo yao?
  15. A

    Kuingiza siasa kwenye elimu ni kitu kibaya sana. Sioni kama kuna umuhimu wowote wa kuanzisha somo la Historia ya Tanzania

    Tumekuwa tukipiga kelele kuhusu matatizo yaliyopo kwenye mfumo wetu wa elimu. Miongoni mwa matatizo hayo ni pamoja na mitaala inayotumika kutowapa wanafunzi maarifa na uwezo wa kujitegemea baada ya kumaliza masomo yao. Cha kushangaza badala ya kuumiza vichwa kutafuta suluhu ya haya matatizo...
  16. A

    Napinga hoja zilizotolewa na Mbunge wa Kahama kuruhusu Wanafunzi kuvaa viatu vya aina yoyote na mambo mengine aliyoshauri Serikali

    Nafikiri ndio umeanza kunifuatilia leo. Mimi ni mtu ambaye niko 'straight' si muumini wa kufuata au kupinga kila kitu kinachosemwa na Rais kwakuwa yapo baadhi ya mambo namuunga mkono na mengine simuungi mkono, haya hapa ni baadhi...
  17. A

    Napinga hoja zilizotolewa na Mbunge wa Kahama kuruhusu Wanafunzi kuvaa viatu vya aina yoyote na mambo mengine aliyoshauri Serikali

    Kuzuia uniform ya viatu vyeusi hakuwezi kuwa suluhisho la viatu kushuka bei kwa sababu hata kama wanafunzi wataruhusiwa kuvaa viatu vya aina yoyote bado bei itapanda tu kwakuwa navyo vitakuwa ni sehemu ya uniform ya shule. Suluhisho pekee ni serikali kuweka mkazo na mikakati madhubuti ya...
  18. A

    Napinga hoja zilizotolewa na Mbunge wa Kahama kuruhusu Wanafunzi kuvaa viatu vya aina yoyote na mambo mengine aliyoshauri Serikali

    Leo kwenye uzinduzi wa ofisi ya makao makuu ya wilaya ya kahama, mbunge wa jimbo hilo mh. Kishimba ameiomba serikali kupiga marufuku wanafunzi kulazimishwa kununua madaftari aina ya 'counter book'. Pia ameiomba serikali kuruhusu wanafunzi kuvaa viatu vya rangi yoyote kwakuwa viatu havisaidii...
Back
Top Bottom