Walimu wa vyuo hasa hivi Vyuo za utabibu jaribuni kuwa na mpangilio mzuri wa ufundishaji maana kuna baadhi ya wanafunzi wanakua wanarudi nyumbani kutokona na mpangilio mbaya wa mtaala na ratiba ndani ya chuo.
Kuna baadhi ya wanafunzi tulichaguliwa na TAMISEMI Kwenda chuo lakin hatuku verify kutokana na kutokua na uelewa na changamoto nyng za kimaisha, nn kwa namna gani tunaweza fanya kutudisha nafasi zetu kwa huu mwaka
Mim nilichaguliwa na TAMISEMI mwaka 2019 kwenda chuo cha utabibu maswa, lakini sku verify kua ntafika chuoni apo kutokana na kutokua na ufahamu na simu yenye kushika internet. Kama na ww umekutana na tatizo kama hili weka mawazo tuone tunafanyeje au wenye ushauri tusaidie
Mimi nahis bado serikali yetu haijaweka kipaumbele katika michezo kama inavyoweka kweny masuala mengine, na kama kungekua kuna kipaumbele sana katika michezo Tunisia ilikua ni ya kuifunga 2 kwa 0.
Mimi kwa majina naitwa JUMANNE SELEMAN JUMANNE
NI kijana wa umri wa miaka 17,
Nmemaliza kidato cha nne mwaka jana 2019, Baada ya hapo nlichaguliwa na TAMISEMI kujiunga na chuo cha utabibu Maswa- SIMIYU.
Sasa, sku naenda kureport chuoni nkaambiwa na msajili kua sku verify( confirm) kua mimi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.