Umesema vyema hivi mpanda mbegu na mwotesha mbengu nani huwa na akili zaidi let now look majority hiki kinafaida gan zidi ya hiki hapo ndipo tunapata overall
Watu hao huwa hawajioni ilawanaonwa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] there say do your thing and let the word judge u
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Akili ni uwezo wa mtu kufikili kipimo nipale ww unapoona problem na kusolve how do u solve energy all determines you are akili thanks
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Mm huwanataka kuamgalia content alio nayo akitoka chuoni nakuiamisha kwenye business ona Watu wanasoma iliwaadd creativity kwenye jambo alafu lile jambo ililiwapay kwa skills kama engineering, afya hukuna shida ila kwa bussiness Vp ndo ninacho uliza nikiexpert proffessors na lecture watusaidie
Hakuna [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji38][emoji38]
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Hivi mtu aliye soma marketing course kwa kazi yoyote ile anaweza kujiajilije yeye kama yeye kwa kile alichojifunza chuoni au ability yake ya kufanya mambo according kwa knowledge yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.