Poleni na majukumu wakuu
Mimi nina na changamoto inanitatiza sana, ninasomea maswala ya information science, natamani sana kujua kuhusu database administration, ila pa kuanzia sijui na sijui ninatakiwa nisome nini na nini ili niweze kuwa database administrator
Mwenye ujuzi tafadhali anisaidie
Case yangu na yako zinaendana... Ni msichana mwenzangu kama nilivyosema awali ni rafiki yangu na nilimpenda sana kitambo tulikua karibu sana muda wote lakini muda mrefu sasa umepita ukaribu ni kama umeisha ivii....
Na kwenye ndoto namuota labda tumekaa tuu tunapiga stori kunasiku nimeota...
Wakuu mimi nina rafiki yangu tulikuaga mabest sana advance lakini tulivyorudi mtaani kila mtu na mishe zake hakuna anayemtafuta mwenzake imetokea tupo nae chuo kimoja sema kozi tofauti ila ukaribu wetu sio sanaa tena kama kipindi kile tukiwa advance. Sasa inanitokea mara nyingi ninakuwa namuota...
Nina miaka 20
Sina shida ya kuona mbali au karibu ninaona kila kitu clearly mkuu..... Ila hivi karibuni kuna wakati naona giza alafu napata maumivu makali ndani ya macho na machozi
Habari wana Jf
Jamani mimi ninasumbuliwa na tatizo la macho tangu nikiwa na miaka saba macho yananiwasha sana muda wote mchana na usiku pia ila usiku ndio sana na kadri ninavyokua ndo naona yanazidi kuwasha na kutoa machozi na yana maumivu makali yanachoma choma.
Nimeenda hospitali nikapewa...
Ndugu yangu wewe unaongea hivi kwa sababu hujui madogo kipindi hiki wanapitia nini
Kwa miaka ya siku hizi kila mahali ni connection ukiweka nguvu zako mwenyewe kwa kila kitu hutoboi
Ni matumaini yangu mu wazima na mnaendelea vema na majukumu ya hapa na pale
Kuna hii kozi inayoitwa health information system (HIS) inatolewa UDOM ninaomba kujua inahusika na nini na pia mtu anaweza akafanyia wapi kazi na soko lake apa Tanzania lipoje?
Shukrani sana
Habari za wakati huu, ni matumaini yangu kuwa mnaendekea vizuri na shughili za kujenga taifa..hongereni sana
Kuna mdogo wangu yupo chuo kikuu mwaka wa kwanza chuo kikuu cha dodoma (udom) anasomea environmental science kufikia hapo alipo anasema anachokisomea hakipendi na kwamba alikubali tuu...
Habari zenu jamani...
Ninaombeni ushauri wenu kuwa kati ya Interior Design na kozi ya Multimedia Technology and Animation ipi ni kozi nzuri kusomea na yenye wigo mpana wa ajira hapa Tanzania.
Nitashukuru kwa ushauri wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.