It is surprising that they are not even embarassed or concerned that it is all green! And their leader is encouraging them to continue the good life “ kila moja ale kwa urefu wa kamba yake lakini msivimbiwe”
My God Tz inaelekea wapi?????
Juan kama unalinganisha uongozi na viongozi kula na kustarehe basi nchi yetu haitakaa iendelee! I hope you are wrong on that!! Africa will not change until that ideology of eating up your country changes! God help us!!?
Wale watu wawili walijisahau mapema sana!! Waliwadharau maccm wa zamani wakaleta wapya kwa manunuzi, waliwatukana waliokuwa viongozi ccm wakidhani kuwa wao ndio wenyewe, walifurahia wapinzani wakisambaratishwa, Slowslow alitamka kuwa “CCM mpya wanatembea na V8 hata wale walio kwenye mitaa...
Hivi kweli rais wetu anajisikiaje kuhusu hii kesi?? Mimi kama namhurumia kwa aibu anayoibeba kwa yanayotendeka mahakamani! Afadhali ofisi yake angekiri Kuwa rais alidanganywa! Ni aibu kwetu kwa wanaotutazama kutoka nje!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.