Kuwapata watu wa aina ya Warioba au Mwinyi ndani ya CCM kwa sasa, ni kitu ambacho hakiwezekani.
Hata chawa ambaye hana uwezo kabisa akipewa nafasi yoyote ile hawezi kutamka kuwa hana uwezo.
Mama naye ameanza vioja.
!!
Uchaguzi utakuwaje huru na wa haki wakati mifumo ya usimamizi wa uchaguzi ni ya hovyo na ya kidikteta? Au utakuwa wa haki kwa vile tu msimamizi ni mkwe wake?
Kwa hili akawadanganye punguani.
Ukisikia ubwege ndiyo huu. Wakipewa report waliochangia, nadhani inatosha. Kwani wewe ni nani huko CHADEMA, hadi upewe hiyo report?
Aliyetoa hela ndiye mwenye haki ya kudai report. Msthalani ile Lumumba office ina haki ya kukudai wewe report ya hiyo 7,000 unayopewa kila siku. Na bila shaka...
Upo sahihi.
Kuna mambo ya hovyo sana nchi hii.
Hivi karibuni nilienda mkoani Njombe, Wilaya ya Ludewa. Nikakutana na diwani (CCM), analalamika kuwa katani kwake waliambiwa wamepewa pesa ya mradi wa maji wa kata takribani bilioni 1.5 lakini mpaka sasa kazi iliyofanyika haiwezi kuzidi hata...
Naamini Makonda amesikia.
Andaa haraka report ya utekelezaji wa ilani ya CCM, uipeleke CHADEMA ili ikafanyiwe assessment, maana huko ndiko kuliko na watu wenye uwezo mkubwa wa akili.
"CCM inaungwa mkono zaidi na watu wajinga (wasio na elimu). CHADEMA inaungwa mkono na watu wasomi na makundi ya...
Fikra zako za kipuuzi sana. Wewe kwa akili yako ndogo unaona bullet proof ni kitu cha ajabu?
Kuna wakati tulikuwa kwenye ziara ya kikazi kwenda Kabanga, Ngara. Kwa sababu matukio ya watu kutekwa wakiwa kwenye magari binafsi au mabasi yalikuwa mengi wakati huo, sisi sote, kila mmoja alipewa...
Huyu siamini kama.ni mzima. Awahishwe hospitali huko Mirembe kabla mambo hayajamharibikia zaidi.
Inaonekana hajui hata sheria za ardhi. Hawa ndio wale wanaopoteza muda mwingi darasani halafu wanatoka watupu kabisa.
Sheria za nchi zinatambua umiliki wa ardhi, na siyo upimaji wa ardhi. Umiliki...
Wewe pia ni mjinga au ndani yako una roho ya ugaidi. Au wewe ni miongoni mwa masalia ya yale magaidi ya Kibiti ambayo sahizi yapo Msumbiji.
Hiyo historia ya mgogoro wa Palestina ina husiana vipi na kijana wetu aliyeuawa kinyama na haya mashetani?
Siamini kama kuna mtu mwenye akili timamu na...
Wangeunganisha na wizara
Wangeunganisha na kufuta baadhi ya Wizara..Tuna wizara na baadhi ya mawaziri ambao hawana msaada wowote kwa Taifa.
Kwa mfano tangu wizara ya madini na nishati ifanywe kuwa wizara mbili tofauti, kuna tija gani imepatikana? Matatizo ya umeme ndiyo yameongezeka.
Hii nchi sijui kama kuna kitu kilichokaa vizuri! Mahakama hovyo, Serikali hovyo, Bunge hovyo.
Hivi ni nini hasa tunachoweza?
Tungekuwa ni nchi za wanaojitambua, huyo Mwenyekiti magumashi alistahili kufukuzwa mara moja, maana maadili na uwezo wake ni aheri ya mwenyekiti wa baraza la kata...
Ulivyoanfika tu, inaonekana una matatizo kichwani. Shughulikia tatizo lako la akili kabla hujafikia hatua mbaya.
Inaonekana umekuwa addicted, ndiyo maana hata ukiteleza ukaanguka, ukiamka, nadhani utailaumu CHADEMA.
Hili suala la CHADEMA qala CCM, ni suala la mifumo ya utawala wa nchi.
Inatakiwa tuwe na mifumo inayozuia kabisa watu wa ajabu ajabu kuwepo kwenye sehemu za maamuzi, bila ya kujali kama watu hao watapitia CCM, CHADEMA au chama kingine chochote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.