Sera za Ujamaa bado zipo. Soma ilani ya uchaguzi ya CCM
https://www.ccm.or.tz/website/nyaraka/nyaraka_file/2020-12-11%2013:18:22_ILANI%20YA%20CCM%202020.pdf
Kwa hiyo unakubali hakuna muungano kuna uvamizi? Maana kama huu ungekuwa muungano basi ungeipa Zanzibar heshima yake kama nchi iliyoungana na nchi nyingine. Na kama kulikuwa na uvamizi na siyo muungano basi Zanzibar ina haki ya kugombea uhuru wake kama nchi yoyote ile iliyovamiwa au iliyokaliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.