Habari ndugu,
Naomba kuuliza kama nitaruhusiwa kuappeal mkopo kwani nilipata asilimia chache sana kwa mwaka wakwanza na nilishindwa ku-appeal kipind kile kutokana na sababu zilizokua nje na uwezo wangu.
Je, mwaka huu nitaruhusiwa kuappeal?
Wasomi wenzangu naomba kuuliza kwamba kama mwanafunzi alipata asilimia 20 ya mkopo na hakufanikiwa kuappeal kwa kipindi kile cha mwaka Jana je mwaka huu dirisha la Appel likifunguliwa ataruhusiwa kuappeal..????
Naomba kuwasilisha...!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.