Search results

  1. Youth Worker Tanzania

    Umekata Tamaa! Sema maneno haya

    Changamoto unazopitia zinakuumiza na kukuhangaisha. Hii ni sehemu ya maisha ambayo kamwe haiepukiki Wala haizuiliki. Kuna wakati unajiuliza,Mungu uko wapi na hata mimi naandamwa na kusumbuliwa na dhiki. Mungu kama unanisikia ,nakuomba mitihani hii mbali kwangu izidi pitia. Mbaya zaidi ni pale...
  2. Youth Worker Tanzania

    SoC01 Nenda Sia, kila nikikumbuka nasimulia na wengine nawasaidia (Stori ya kweli)

    Sia ni binti ambaye wakati Fulani tuliwahi kuwa katika uhusiano wa kimapenzi,Japokuwa ndio kwanza tulikuwa tumetoka masomoni kwa kuhitimu kidato cha sita.Si jina lake halisi ,Lakini naamini litafanikisha kufikisha ujumbe niliokusudia. Hatukudumu sana hasa baada ya matokeo kutoka na kila mmoja...
  3. Youth Worker Tanzania

    Namna ya kukabiliana na hofu inayokusumbua

    Kuogopa juu ya jambo fulani ni miongoni mwa changamoto anazopitia mwanadam yeyote. Si mbaya kuogopa, lakini tatizo litakuja kama kuogopa huko kutakufanya ushindwe kutimiza au kufanya majukumu yako ya msingi. Kama kusoma, Kulima, kupika, kulala nk. Sababu zinaweza kuwa nyingi za kwa nini...
  4. Youth Worker Tanzania

    Haya ndio ya kuzingatia katika akaunti zako za mitandao ya kijamii

    Wakuu Habari, Nimeona nikushirikishe wewe kijana mwenzangu ambae bado uko Chuo, Mtaani au tayari kwenye suala la Ajira. Ni muhimu kuzingatia ni kwa njia gani unaishirikisha jamii ili tu uweze kutoka sehemu moja kwenda nyingine kimaisha. Mfano mzuri, kama unatafuta kazi kwa njia ya kutuma...
  5. Youth Worker Tanzania

    Balozi wa afya ya akili

    Habari wakuu, Vijana wetu hususani walio shule ni miongoni mwa wanaosumbuliwa na matatizo ya afya ya akili, ikiwemo KHOFU ILIYOPITILIZA. Kwenye maisha khofu ni jambo la kawaida, lakini inapotokea inazidi kiasi mtu anashindwa kufikia ndoto zake anazotarajia, hii inahesabika kama tatizo. Kuna...
  6. Youth Worker Tanzania

    Jamani hili ni kweli?

    Habari Wakuu, Katika kupita pita na kujadili Mambo,Nimekutana na jamaa ananambia Pesa sio kila kitu katika kuleta furaha ya kweli ya nafsi maishani. Usemi huu ni kweli?
  7. Youth Worker Tanzania

    Afya ya akili yako

    Habari Wakuu, Akili ni rasilimali muhimu katika kufanikisha shughuli za maisha yako ya kila siku. Zingatia nini unasikiliza, Wapi, toka kwanani na muda gani. Wataalam wanashauri kuwa si vema kulala ilihali umesoma au kuangalia picha, au tamthilia zenye kuogofya kwani kile cha mwisho kutazama...
  8. Youth Worker Tanzania

    Cambridge International College

    Wakuu Habari, Kama kuna mtu ambaye amewahi kusoma college hii inayotoa Kozi zake kwa mfumo wa Online,Naomba atusaidie juu ya eligibility yake na equivalency ya certificates zake kwa vigezo vya hapa nchini. Mfano Kama mtu amesoma Diploma, Au degree chuo hiki,Atahesabika kama muhitimu wa ngazi...
  9. Youth Worker Tanzania

    Mbinu ya kukumbuka kila unalojifunza

    Habari Wakuu, Mmoja kati ya Wataalam wa masuala ya kujifunza maarufu kwa jina la Jim Kwik aliwahi kusema,"Wengi tunaambiwa tujifunze,Lakini si kila mtu anaweza kukufundisha mbinu za kujifunza". Hapa alidhamiria mbinu gani unaweza zitumia hata ukaelewa mambo mbalimbali unayojifunza. Kwik...
  10. Youth Worker Tanzania

    Faida ya kuandika malengo

    Wakuu Habari, Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa nafasi ya Uhai na salama . Leo niandike jambo kuhusu kuandika Malengo Mwanzo niliamini ni maneno tu kama yalivyo mengine hasa yale yanayosemwa na Inspirational na motovational Speakers, ambao hivi karibuni wamekuwa wakidhihakiwa kama...
  11. Youth Worker Tanzania

    Nini kinawakwamisha baadhi mafundi kushindwa kuwa wawazi kwa wateja?

    Wakuu habari, Nimekuwa najiuliza,Nini kinawakwamisha baadhi mafundi kushindwa kuwa wawazi kwa wateja? Hali hii utokea pale fundi aidha wa ujenzi, viatu au hata nguo kushindwa kuwa muwazi kwa mteja,hasa juu ya lini kazi yake itakamilika. Japo ifahamike si wote wenye tabia hiyo,Lakini wengi wa...
  12. Youth Worker Tanzania

    Ulitamani kujiendeleza kielimu na mambo yamekwenda ndivyo sivyo

    Habari Wakuu, Inawezekana hivi sasa ni miaka kadhaa uko nyumbani au mtaani au pengine mwaka huu ulitamani kujiendeleza kielimu kwa ngazi yeyote, Lakini umekumbwa na changamoto ambazo zimepelekea kukwamisha ndoto zako. Niliwahi kukumbwa na hali kama hii,Kiukweli ugumu wake asikwambie mtu,Lakini...
  13. Youth Worker Tanzania

    Nini husababisha watu waeleze mambo yanayohusu maisha yao kwenye mitandao ya kijamii?

    Wakuu kuna hili suala la baadhi yetu ambao tunasumbuliwa na mambo tofauti kimaisha. Kwenye majukwaa ni rahisi kukuta mtu ameamua kuanika kinagaubaga yale anayofanya chumbani na mwenzi wake, au namna alivyonyanyaswa na mwenzake na mfano wa hayo. Au hata wakati mwingine changamoto anazopitia...
  14. Youth Worker Tanzania

    Kuna wakati unajikuta hauitaji chochote kwenye maisha, kiasi hata unajichukia. Ni mimi pekee ninayehisi hivi?

    Maisha yanavyoenda mbio kila mmoja anakiri kuwa hii sio utani. Kuna wakati unajikuta hauitaji chochote kwenye maisha, kiasi hata unajichukia. Ni mimi tu ndio nakutwa na hali hii au yupo ambae nae amepitia hilo? Na pengine kuna mambo anaweza shauri kama sehemu ya msaada wa nini nifanye ili...
  15. Youth Worker Tanzania

    Uoga unavyotutesa

    Kimaisha kila kitu huwa kinatakiwa kuwa kati kwa kati ,Yaani kisizidi au kisipungue sana. Mfano kula ukavimbewa ni tabu japokuwa kula ni lazima.Sawa na matendo mengine kama kucheka,kulia ,kutabasamu au hata kukasirika. Uoga ni moja ya hali ambayo umpata kila mmoja wetu,Lakini kwa wengine...
  16. Youth Worker Tanzania

    Mwanachuo usidharau kipindi cha Orientstion

    Ni utaratibu wa vyuo karibu vyote kwa ngazi tofauti kuwa na ratiba ambayo inaonesha mambo muhimu yanayohusiana na chuo husika. Ujumuisha sheria na kanuni za chuo,ufaulu na madaraja tofauti ,Maeneo muhimu ya chuo kama hostel na madarasa mengine. Na wengine huenda mbali hata wakawasaidia...
  17. Youth Worker Tanzania

    Chunga sana maneno yako kwa wenzio

    Maisha ni safari na hatua ndefu ambayo kila mmoja wetu anayo tafsiri mbali na hii niliyoitumia. Kwa muktadha huo,Kama binadam bado kuna mambo au vitu ambavyo vinatuunganisha kwa sauti moja, ikiwemo suala zima la hisia. Sio rahisi kuainisha hisia ni nini, Lakini zinawezekana kudhihirika kupitia...
  18. Youth Worker Tanzania

    Maisha ya mwanafunzi

    Kipindi cha kuwa mwanafunzi,Ni kipindi muhimu sana unachoweza pitia katika ngazi tofauti za Kitaaluma. Wakati mwingine kwa mwanafunzi huwa na shauku ya kutaka kuhitimu ili tu ayafikie malengo yake,Ikiwemo kuingiza kipato au hata kuisadia familia juu ya mambo kadha yanayoisumbua. Kuwa na haraka...
  19. Youth Worker Tanzania

    Kwa uzoefu kwenye hili, unaweza wasaidia wengi

    Wakuu kwema, Kuna mambo unaweza ukafanya kwa uharaka au kwa pupa kisha ukaja kugundua kuwa hukupaswa kulifanya aidha kwa wakati huo au kwa mtu huyo. Kumekuwa na malalamiko hususani kwa vijana wanaojiingiza kwenye dimbwi la mapenzi ,Baadae wanagundua kuwa waliomchagua si stahiki ,Hii ni baada...
  20. Youth Worker Tanzania

    Darasa la saba

    Wakuu hamjambo, Vijana wetu wa darasa la Saba wako mtaani kwa muda wa miezi mitatu Hadi hapo watakapojiunga na kidato cha kwanza mwezi Januari mwakani. Kwa umuhimu wa kipindi hiki na ukizingatia wengi wanatoka shule za msingi za serikali ni muda sasa kwa wahitimu wa kada ya ualimu na...
Back
Top Bottom