Mzamiru hana ball control kumzidi Aziz Andambwile.
Kelvin john hana skills kumzidi clement msize labda kilichomfanya aitwe timu ya taifa ni vile ligi ya ubelgiji wanachezea mpira wa chuma.
Job na sop hakuna walichowaazidi Lusajo mwaikenda na tepsie evance labda ni ufupi tu.
Himid mao na...
Wakati wanasajiliwa kuja Yanga Hawakuwa maarufu sana na mechi nyingi walikuwa wanatokea benchi kiasi wachambuzi uchwara kama kawaida yao wakaanza kuwaponda na kuwapa majina ya ajabu kama mzee wa mikimbio, kufanyia mzaha jina la joyce wakahasau nao wanamchezaji anaitwa jeni.
Upande wa lomalisa...
Kuna mashabiki wa
simba/zuwena fc wamejipa jukumu la kumtetea fei..wanajikuta wanajua mambo mengi ya timu kubwa kuliko timu yao yenye migogoro ya viongozi kila kukicha.
NAWAKUMBUSHA TU
kama kuvunja mkataba ni rahisi basi Manzoki angekuwa Zuwena fc.
Wakuu maajabu huwa hayaishi Bunju. Baada ya majina kadhaa kupita Msimbazi kama makolo FC, mbumbumbu FC, mikia FC.
Leo timu kubwa ya Uganda, Vipers sc kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii wamewapa jina jipya hawa ndugu zetu.
Jina ilo ni Zuwena fc.
Hapo vipi watani tuendelee na makolo au...
Aliewapa jina mbumbumbu hakukosea na nashauri ajengewe sanamu pale Msimbazi au Bunju.
Haiwezekani mtu mwenye akili timamu ukawacheka TP Mazembe kupigwa 2 na waarabu wakati we mwenyewe timu yako ndio ilitia aibu ya mwaka kwa kupigwa 3 kavu nyumbani.
Aliewaita mbumbumbu hakukosea kwakweli.
Ndugu zangu mpira ni mchezo wa wazi sana. Vipers na simba kwa pamoja walipigwa 8 mtungo na Raja Casablanca.
Hiyo inaonesha kabisa hawa ndio viazi wa kundi na ni vibonde haswaa maana mmoja alipasuliwa 3 kavu akiwa nyumbani.
Tuachane na hayo kusema ukweli mechi ya hawa vibonde ndio mechi mbovu...
Mimi ni simba damu damu ila kusema kweli sioni kama tutatoboa kimataifa.
Timu imekata tamaa kama mjane mwenye watoto saba.
Fikiria tumepigwa na horoya
Tumepigwa 3 kavu na raja
mpaka mwekezaji anacoment nakujijibu mwenyewe huko twitter.
Hii timu imejikatia tamaa vibaya mpaka kocha anashangilia...
Mashabiki wa klabu ya Unisport FC de Bafang walivamia uwanja na kuwapiga waamuzi baada ya mwamuzi wa kati kutoa penati dakika ya 90+2 dhidi ya Victoria United katika mchezo wa mzunguko wa 13 wa Ligi ya Daraja la Pili nchini Cameroon 🇨🇲 maarufu kama MTN Elite Two.
Hadi kufika dakika hiyo...
Hii tribulation imekua kama onyo kwa wasanii wabana pua wote.
Nadhani ule ubishi wa nani anafaa kupewa crown ya Hip-pop umeisha hakuna cha Young lunya wala young nani, hakuna anaeweza kubattle na Dizasta.
Kwa kikosi cha Yanga sioni kama hawa TP Mazembe kama watatoboa. Cheki kikosi hiki;
Diarra
D. shaban
Lomalisa
Job
Doumbia
Bangala litombo
Aucho
Aziz key
Kenedy Musonda
Mayele
Habari wakuu...
Nimetimiza miaka 9 sasa bila mahusiano na demu..
nimekua napenda kupgwa vibuti, yaan demu asiponikataa cfeel good tena natamani anitemee na shit ndio moyo wang unasuzika.
mademu wanashangaa wakinikubalia siwatafuti tena..
kijana wenu nimeona nije kuomba ushauri maana sijui kama...
Mabao ya Mayele, Said Ntibanzokiza ‘Saido’ na Dickson Ambundo yalitosha kuipeleka mapumziko Yanga ikiwa kifua mbele kwa mabao 3-0.
⚽️' 34, F Mayele
⚽️' 39, S Ntibazonkiza
⚽️' 44' D Ambundo.
Yanga first eleven
Diarra
Job
Bangala
Farid
kibwana
Sureboy
Aucho
Saido
Moloko
Ambundo
Mayele...
Hawaja tu-treat vizuri, unaweza ukashangaa V.A.R Imewekwa lakini haijafanya kazi...! Kiufupi hawakustahili kushinda lakini Nina swali kwao Iwapo na sisi tutawafanyia hivyo mechi ijayo watajisikiaje?
Kocha wa Orlando Pirates, Mandla Cinkazi.
Hatuna shida sana matokeo tuliyopata maana yote aliyoyasema Abdi Banda yametimia. ila kilichotukera sana sisi ni vile vitochi vyenu vya kitoto mlivyokuwa mkivielekeza kwa golikipa wetu muda wote.
Karibuni South Africa.
Mohammed hussein atang'ara sana Pia atahusika kwenye bao lao kwanza la Simba.
Lwanga atapewa kadi mbili za njano
Kapombe au sakho mmoja atapata injury
Kennedy juma atachomesha goli 1
Mugalu atakosa magoli mengi ya wazi huku mechi ikiisha Simba 1 : 1 Orlando pirates
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.