Search results

  1. B

    Maiti afufuka chumba cha maiti - Iringa

    Tatizo ni madaktari wetu si wataalam wa kutumia vema utaalamu wao. Huyu mgonjwa alikufa nusu kaputi, mapigo ya moyo yalikuwa chini sana, na hivyo kuna vyombo kadhaa vinavyotumika kupima kuhakiki uhai wa mgonjwa au umetoweka kabisa. Hii ni aibu sana kwa taaluma ya waganga.
  2. B

    Maiti afufuka chumba cha maiti - Iringa

    Hahahaaaa, duuhizi si habari za kweli haiwezekani mtu kukatakauli halafu akaoneka bado ni mzima hayo ni maajabu ya dunia hivi dunia hiii inakwenda wapi mungu atunusuru na haya majanga
Back
Top Bottom