ZABURI 35
Kuomba msaada
(Zaburi ya Daudi)
1 Ee Mwenyezi-Mungu, uwapinge hao wanaonipinga;
uwashambulie hao wanaonishambulia.
2 Utwae ngao yako na kingio lako,
uinuke uje ukanisaidie!
3 Chukua mkuki na sime yako dhidi ya wanaonifuatia.
Niambie mimi kwamba utaniokoa.
4 Waone haya na kuaibika...
Asee nimekua rafiki sana wa mitandao ya kijamii tangu mwaka 2009 lakini naona hakuna kitu nimegain zaidi ya concentration yangu kuwa katika vitu visivyokuwa na maana. Kama niliweza kushinda jaribu la kupiga punyeto na kuangalia porn nadhani nitashinda.
Nilichogundua mambo mengi tuyaonayo...
ilo la machinga nakuunga mkono kila kona wamekua kero hata sisi watembea kwa miguu hatuna raha ya kutembea make unaogopa kumwaga vitu vya machinga huku boda boda wanakukosakosa
kuna jamaa mmoja jirani yetu alikua na kacheo fulani uko mkoani Mara sijui alifanyaga kitu gani ila alilogwa alikuaga anakunya mawe yamoto walihangaika sana bila tiba mpaka walipofilisika nayeye akafa ndo niliamini uchawi upo
Katika pita pita yangu youtube nikakutana na nyimbo za wasomalia asee ni nzuri mno japo sielewi waimbacho ila nimependa nyimbo zao kuanzia melody,beat,uvaaji na sauti
Hizo apo ni baadhi ya nyimbo zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.