Naomba kuelekezwa namna ya kuweza kuupata tena thread ambayo nimeisoma hyu na sasa siioni, mfano kuna uzi mmoja una heading "ni kitabu gani kimewahi kubadilisha maisha yako" nilikuwa naupitia sasa hvi bt siuoni tena baada ya kushift kdg.
Habari za asubuhi wakuu,
Naomba anaejua bima ya afya yoyote ya gharama nafuu tofauti na NHIF anijuze.
Nataka niwakatie wazee wangu, binafsi natumia ile ya NSSF ya kuchangia elfu 20 kwa mwezi ...... Recently wamesitisha kupokea wanachama wapya Kwa mda usiojulikana.
Habari za asubui wakuu.
Naomba anaejua bima ya afya yoyote ya gharama nafuu tofauti na nhif anijuze.
Nataka niwakatie wazee wangu, binafsi natumia ile ya nssf ya kuchangia elfu 20 kwa mwezi bt recently wamesitisha kupokea wanachama wapya kwa mda usiojulikana wameacha tu wale ambao...
Habari wakuu, nililetaga humu uzi kuomba kusaidiwa namna ya kupata subtitles kwenye series na movies mpk sasa sijapata solution, je kuna app ya movies na series ya namna hyo? Kuna uzi flan mwana mmoja akapendekez app inaitwa cinehub for Android mwanzo ilikubali na ni nzr bt ghafla ikagoma...
Aisee nimejikuta nikimkumbuka sana huyu fundi wa muziki wa dansi aliyepata kuvuma sana kwenye muziki wa dansi na nyimbo kadhaa zilizokonga vilivyo nyoyo zetu.
Yu wapi gwiji huyu?
Wakuu huwa nadownload movies na series kupitia telegram sasa nyingi huwa hazina subtitles, nimejaribu kuangalia kupitia vlc au mx player bt naona dizaini inaleta shida, je kuna njia nyingine naweza kusolve hii shida?
Msaada kwenu.
Natumia turbo vpn duration yake ni wiki moja for free so naomba mwenye kujua ambayo ni free total na yenye kasi nzuri, ni hayo tu wakuu uchaguzi huu umetufunza mengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.