Kweli nimegundua kuna tofauti ya kiongozi wa kuchaguliwa na kiongozi wa kuteuliwa..baada ya Lema kurudi alipiga marufuku mgambo kupiga watu na akawaelekeza kutumia taratibu za kisheria kushughulikiaa watu.
Nilichogundua mpaka sasa siwaoni tena wale mgambo wakiranda randa...hii pia inambatana na...
Nimejaribu kufwatilia.kila sehemu serekali ya ccm ilipopoteza uhai wa wananchi wake. Ccm ilishindwa kabisa hata kufanya mikutano mfano arusha..ukiona serekal
flani inaua wananchi wake ujue uhuru wa hao wananchi umekaribia....
Inanishangaza serekali ya ccm ikiwahadaa watanzania kwa kuwaambia kuwa wajitokeze kuhesabiwa ili waletewe maendeleo,,,,je,kwa muda wa miaka 50 mmeshindwa kumtoa mtanzania kwenye lindi la umasikini kwa kuwa hamjui idadi yao?,,nahitaji majibu
Napenda kuipongeza halmashauri yangu ya jiji la arusha kwa kuwa na mikakati ya kuweka jiji safi kuanzia tarehe 1/9..hii itaambatana na kuwaondoa wafanya biashara wadogowadogo maeneo ya mabarabarani
rai yangu:
Ni vyema hawa wafanyabiashara wakatafutiwa mahali pa kufanyia biashara.hii itaepusha...
Nimejaribu kufanya utafiti mdogo,nikagundua kuwa rangi za chadema zinapendwa sana na watu,hivyo napenda chadema watafute kiwanda hata nnje ya nchi.kituzalishie product zenye rangi za chadema,halafu ziuzwe kwa watanzania kama namna ya kuongeza mapato ya chama...napendekeza kuwa bidhaa hizo ziwe...
Chadema bunge limeisha sasa,,majembe yetu mlioko bungeni tunawategemea kujiunga na jeshi la m4c...2015 tunayahitaji majimo yanayoongozwa na:
1.kayanza Pinda
2.Lukuvi.
3Wasira
4.Anne Makinda
5.Lusinde
6.Nchemba
7.na mengine mengi
napendekeza zile pickup zikaanze kufanya kazi huko
kabla sijakusaidia natakiwa kujua mambo yafuatayo:
1.elimu yako
2.imani yako
3.unakotoka
4.kabila
5.umri
6.umeoa/umeolewa
7.chama unachoshabikia
8.umeachika/mahusiano
9.kimo chako
10.ukuaji wa akili(cognitive development)
nikiyajua hayo yote nitakuwa kwenye nafasi nzuri ya kukusaidia
nashindwa nianze kukusaidia wapi.maana mwalimu wako hakukusaidia kwenye nyanja kuu 2 yaani...cognitive na affective ......hili ni zao lingine la elimu movu iliyosimamiwa na ccmkwa miaka 50
Jana kwenye changia chadema.mh mbowe alitoa vipaumbele vitatu pindi chadema watakapoingia madarakani mwaka 2015.ipaumbele hivyo ni:
1.elimu
2.elimu
3.elimu
walimu wanachotakiwa kufanya kuanzia sasa ni kuhubiri waziwazi mabadiliko ya uongozi wakiwa madarasani na nnje ya madarasa.mwisho kabisa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.