Yaa brother, ulio yaongea ni kama vile nimekwambia uongee yalio moyoni... Yaani umeniongelea mimi broo,
Hata mimi wife wangu ni kama wako, hivyohivyo broo,.. Na sijawahi kumhisi na kwa jinsi nilivyo ishi nae, naweza sema hajawahi kunicheat, simuwazii hayo.. Kalelewa mazingira flani ya dini...
Habari zenu wa JF? Nina baadhi ya thamani za ndani kama mnavyo ziona
KABATI la vyombo size 5X6 kama mnavyo liona, hilo ni full mbao sio zile za kuunga
MEZA kubwa ya kioo, tena kile kioo kikubwa cha milimita 12,... Urefu mita moja, upana nusu mita, haina kreki kama mnavyo ona
SOFASET : sofa...
Kaka nimekaa vijiweni sana, Huko magereji ndio usiseme, sema kila mtu na mtuwe, na wengine hujiongeza kwa chochote, sasa mimi sina kipato, inaniwia vigumu mno
Madereva wenzangu, na wamiliki wa vyombo vya moto.
Pamoja na sifa zote nilizo nazo lakini sina kazi ndugu zangu,... Najua kimsaidiacho mtu chake,. Lakini havitonisaidia chochote pasina nguvu zenu... Hizi kazi zetu za Udereva, bila kushikana mkono huezi pata, labda itokee kama bahati tu
Sina...
1. HALI IKOJE MKOANI KWAKO
Ndugu Madereva au Mmiliki? Nataka kuuliza kuhusu mfumo huu, katika mikoa yenu ukoje, Kanda ya kaskazini, Gari yeyote ya biashara ambayo Dereva husika mwenye Leseni Daraja C1, C2, C3, C, na E.
Latra itakapoisha Muda wake katika gari hio, Mmiliki wa chombo hicho hawezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.