Search results

  1. waco1920

    Je, tafsiri nyingine ya sheria inayoongoza Bunge letu, ni ipi nje ya hii iliyotumika kumuadhibu Sophia Simba?

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Tume ya Taifa ya Uchaguzi inapenda kuutarifu Umma kuwa; kwa mujibu wa Kifungu cha 37 (3) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343, Mhe. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemjulisha...
  2. waco1920

    Angalizo kwa CCM: Zoa zoa ya wapinzani ni kutengeneza bomu la atomic

    Nimewiwa kutoa tahadhari kwa Chama tawala na pendwa! Cha CCM juu ya nguvu hii kubwa inayotumika kuwavuta ndani ya chama viongozi au wanachama wenye ushawishi kutoka katika Vyama vya upinzani. Kwa wakati huu, kwa sura moja tunaweza kuona Kuwa ndiyo njia pekee ya kutumia ili kuvidhoofisha au...
  3. waco1920

    Natafuta mwanamke wa kuwa mke wangu, miaka 26 hadi 32

    Habari marafiki zangu wa kwenye uwanja huu wa mahusiano! Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 48 ambaye nina watoto tayari. Niliachana na aliyekuwa mke wangu miaka 8 iliyopita na hadi sasa nipo huru. Kutokana na uhitaji wa mtu kama huyu, ndiyo maana nakuja hapa kushare na wenzangu. Kama kuna...
Back
Top Bottom