Taarifa kwa umma:
Leo majira ya saa 7 vinega wengi walikuwa pale mahakama ya kisutu ili kuweza kujua ni madai gani yaliyowafanya waitwe mahakamani......madai ambayo kwa mujibu wa karani wa mahakama ambaye kesi hiyo ilikuwa imefunguliwa jalada namba 294 kesi ya madai ya mwaka 2011...hakimu...
wewe unaelimu gani, msiwe mnatumia keyboard kujidai mna elimu kwa saaaana! wewe unaejidai Sugu hana elimu hawezi ingia mkataba na mtu anaemzidi elimu hebu tuambie elimu ya 50 Cent, Cristiano Ronaldo na wengineo, siku ya makubaliano Sugu alikua na mtu anaemsimamia na ni wakili msomi Tundu Lissu...
Kumbukeni ajira yake inatolewa na Rais na inasitishwa na Rais, usitegemee akatenda tofauti na mwajiri wake! Haya yote dawa yake ni katiba mpya, kazi zote kuanzia DC, RC, RAS, DED, wakuregenzi ziwe za kuomba tupeleke CV tupambane sio kupeana sandakalawe za kukosa ubunge
Mwigulu LM Nchemba 18:39 Today
Luhwege nimeeleza sana jana sijawahi kufumaniwa na kama yupo aliyenifumania na aseme ilikuwa wapi yaani hata aseme nilikukuta hivi ikawa hivi aseme hata eneo hata muda na nini kikatokea. Ndg wans JF najibu haya kwa sjili ya wenye nia njema...
Huyo mwenyekiti kwanza angeandaa vazi la radio yake, watangazaji wake si ndo wanaongoza kata k na zile suruali za mabinti wanaita skin jeans na wa kike nao wanaongoza kwa kuweka maziwa nje. Kama kashindwa kua na mavazi ya hesima nyumbani kwake vip kuhusu taifa nazani Nchimbi anatafuta vazi la...
Wewe unafikiria kwa kutumia masaburi, ukwel ni kwamba huyo kirusi Ruge anabaka mziki hapa bongo kwa kushirikiana na jamaa wa serikali wasiokuwa waaminifu, wanaish mjini kiujanja ujanja tu na subirin 2015 akitoka madarakan ndugu yenu patachimbika mali ya serikal mlochukua itarudi...
Wewe unafikiria kwa kutumia masaburi, ukwel ni kwamba huyo kirusi Ruge anabaka mziki hapa bongo kwa kushirikiana na jamaa wa serikali wasiokuwa waaminifu, wanaish mjini kiujanja ujanja tu na subirin 2015 akitoka madarakan ndugu yenu patachimbika mali ya serikal mlochukua itarudi.
Unachekesha...
alianzisha hii mada hakusema watoto au ndugu wa vigogo wa CCM amesma kuna haruf ya kujuana ila umeamua kwa makusud kugeuza story na kua ni CDM v CCM hebu tujaribu kupunguza jazba na kukimbilia kutafuta majibu rahis, any way kuhusu Mkapa kua na watoto wawil na wote wako bongo haimaanish hawez...
tamaa mbaya sana huyu mtoto angekaa zake magwanda angekua mbali sana, angekuwa mh wa vit maalum huyu ye akaonadili kupewa kadi na baba riz hapa r chuga ndo kwisha habari yake kama baba tunda
Siku anahutubia wazee wa CCM mkoa wa si aliwapa ratiba yake ilivyokua ngumu tangu mwezi wa nane hajaongea na Magamba kisa anakata anga na akawaahidi mwisho wa mwezi atakua zake Bunjumbura imekuaje tena ameghairi kusafiri au lilikua changa la macho tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.