Kwamaneno mengine, tanesco ni kampuni pekee nchini inayoona ni sawa kukosa mapato kwa visingizio vidogodogo. Hawahesabiwi kwamba kila saa umeme ukikatika nchi inakosa mapato kwa wao kama shirika kutokubill wateja na wateja wake hawazalishi nankupelekea kukosa hela
Serikali ilishidwa kuweka continuity plan TICTS wakiondoka waweze kuendesha wenyewe? Investments zilizofanyika io miaka haitoshi kuandaa wazawa kuendesha bandari na hazina maana yoyote? Kama TICTS walikaa miaka 22 hawa watakaa miaka mingapi? Ni makosa gani yalionekana kwenye mkataba wa TICTS na...
Amna anaekataa uwekezaje shida ni jinsi serikali ilifikia huo uamuzi. Unaweza mwacha mke wako aende kuishi na mwanaume mwingine kisa anauwezo wa kumtunza?
Kwa miaka 60 iliyopita ccm walikua wanafanya nini? Hawakujua kwamba kuna shida ya maji kipindi cha ukame na wajiandae? Kama kweli mwanza kuna shida ya maji, unaona viongozi ni wawajibikaji? Kwa uzoefu tu, 60% ya ccm itakua madarakani after 2025, asilimia ngapi ya viongozi wa hovyo wa saivi...
Baada ya mwaka wanatakiwa waje na strategy ya kuondoa migao ya maji. Ni aibu kwa shirika la maji kutoa matangazo ya migao. Wanaingiza fedha nyingi kwa resource wanayopata bure. Wawajibishwe wasipoondoa shida ya maji
Tofautisha uchochezi na haki ya kuchochea. Uchochezi umeletwa na serikali ambayo haiweki wazi matumizi ya tozo zilizokusanya na matumizi ya mikopo ya Covid. Na pia ata zahanati na blah blah zilizojengwa pesa zilozotumika haziwekwi wazi. Kwa raia mwenye akili timamu lazima aulize. Maswali...
The best option naona ni viongozi wa umma kudeclare mali zao in public ili tuwe na check ya kujiridhisha kwamba hawafuji mali za umma. Kama Mwiguli ana legitimate source of income, hamna ubaya ata akiwa na bus 100 mpya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.