Ni game ngumu ambayo itakuwa na ufundi na ujuzi wa hali ya juu. ila naona kabisa Man U wakija na lengo la kuzuia zaidi na kushambulia kwa njia ya counter attack.
Liverpool kama kawaida yake akiwa ndani ya anfield ni kuprocess mpira vilivyo na kufanya pressing ya nguvu pindi mpira unapokwa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.