Hivi hesabu hizi zinawagusa Wanajeshi na polisi?
Kisha wako kimya tuu wanangoja wakastaafu na kurudi kijijini au kuishi mjini na kuwa night watchmen wa vibaka wa CCM?
HILI LIMBWATA SIJUI WALILITOA WAPI HAWA CCM!
Halafu hao hao ACT wakamshangilia utadhani Yanga kamfunga Mamelod!
Nchi hii imefika wakati Mabakamabaka wachukue dhamana kwa miezi 6 tuu kisha tuanze upya kama Ghana ya wakati wa Jerry Rawlings.
Bank ya makabwela ambayo wastaafu hasa wale wa zamani serikalini walilazimika pension zao kulipiwa katika bank hiyo inawaumiza sana watumishi hao wastaafu kwa kuwanyonya kupitia mikopo yao ambayo wameitengeneza kwa mfumo wa ile Kausha damu ya mitaani.
Bila huruma kwa wazee hao ambao wanapokea...
Tatizo la masikini na wajinga ni kudhani kiongozi akifokewa hadharani au kukashifiwa ndio utatuzi wa kero zao.
Sio kweli, eti we mkuu wa mkoa jibu hili! Afisa ardhi kwanini kiwanja kile hakupewa yule na kadhalika kama hayo hayana msaada maana ni USANII MTUPU, ona alikopita huyo mwenezi wenu...
Kwa hiyo ma CAG wote waliokuwa wanapitia hesabu za chama kama za umma na kutoa hati safi ni waongo na sehemu ya ushirika na Mbowe?
Sikujua kuwa siku hizi JF imevamiwa kwa kiwango hiki na watu wa aina yako ambao naogopa kuwaita jina lao sahihi "wajinga".
Mayalla hata wewe umefikia this level? TOO LOW!
Nashindwa kujua hii akili ya aina hii ni matokeo ya Kujiunga kindaki ndaki na CCM au unakunywa sana pombe kupindukia hivyo kuwa mlevi?
Hizi sio akili za mwandishi mkongwe na mahiri ambaye pia ni mwanasheria msomi.
Stupidity at its highest level.
Pale idadi ya watu wenye fikra za aina yako inapoongezeka ndipo taifa hilo linapo fika katika ukingo wa kuelekea kuangamia.
Habari zilipatikana kuwa yule kijana alikufa. Sasa hatujui ni mapenzi ya Mungu yaani kifo cha kawaida au ilionekana hafai kuendelea kuishi mtu aliyemzabua kelbu Rais mstaafu?
Ni jambo la ajabu migogoro ya ardhi nchi hii inapoteza idadi kubwa ya raia kwa kuuana na mifarakano.
Ardhi ndiyo wizara iliyo na migogoro mingi kwa raia wake kuliko wizara nyingine yeyote na hii inatokana na Halmashauri nyingi kukosa kabisa wataalamu wa Ardhi wa kutosha na hao waliopo kwa...
https://youtu.be/KjjOEeWrH-g?si=0wWx5xKmO4wRtYdv
Yapo mambo hayafutiki mioyoni lakini kubwa hasa ni kudhalilika au kunyanyaswa na mtu aliye kuzidi cheo.
Makonda alipokuwa RC alimfedhehesha sana na hadharani DC wa Kinondoni wakati huo Daniel Chongolo hadi kumtukana na kiumri Chongolo ni mkubwa...
Kwamba Rais anajibu "kabla sijaondoka 2030 Nzega itakuwa mkoa"?
Nani kamwambia kuwa 2025 Watanzania watamchagua yeye? Kwa nini anapenda kujidanganya? Au ni hizi sifa za mzaha wanazompa wapambe na chawa wake?
Ngoja atembelee wilayani kwetu atatukuta na mabango yenye ukweli;
"HALI NI NGUMU 2025...
Chuma kilinichekesha wakati kinamalizia mkutano;
"Sasa namalizia ili muamue kuchukua hiki nilichowaambia na kwenda kuwaeleza na wengine ambao hawakubahatika kuja hapa au kunizomea kama alivyo waagiza yule anaitwa Wassira"
Huoni aibu kufanya mambo ya Facebook hapa JF home if great thinkers? Hizo picha za maandalizi ya mikutano unawapa watu wenye akili zao katika mijadala humu wakati wameshaziona picha halisi hujisikii kuwa unaweka ujinga wako hadharani?
Hayo mambo msifanye humu!
UKOLONI UNARUDI TANZANIA?
Na Thadei Ole Mushi.
Miaka 60 ya Uhuru tumeshindwa kabisa kusimamia rasilimali zetu wenyewe.
Migodi tumeitoa kwa Wazungu, Misitu tumeitoa kwa Mwarabu, Posta tumeitoa kwa Mwarabu, Misitu tumeitoa kwa mwarabu, Gesi tumeitoa kwa Mzungu, Uwanja wa ndege wa KIA nao...
Lakini ndugu yangu hivi kuhamia Mikocheni ni tamko la Chama? Au hilo jengo lililoonyeshwa na gazeti ni taarifa ya chama au ni tetesi za hilo gazeti?
Sioni kama kuna la kuhofia maana sijaona popote Mnyika kama mtendaji mkuu au Mbowe kama mwenyekiti au msemaji mkuu Mrema kutoa kauli ya kuhamia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.