Wakuu itifaki imezingatiwa
Katika harakati za mahusiano na mapenzi kuna kitu kimenishinda mpaka najiuliza mnaofanya hivi mnaajenda gani muda wote mnawasiliana
Hivi mwanaume mwenye majukumu ya kazi tu mbali na familia unakuta muda wote ni kuongea na mwanamke wako yes tena mmoja tu simu ikipigwa...
Wakuu
Mimi ni muhimu wa elimu ya juu tangu 2018 course ya education, kwaujumla mimi ni mwalimu wa masomo ya geography na Kiswahili ambaye sina kazi ya kuniweka mini na kujitegemea
Najitokeza kwenye wanajukwaa kuomba kazi ambayo ni halali ndani au nje ya field tangu
Kwa sasa napatikana Dar es...
Igweeeeeeeee
Wakuu habari za siku nyingi, hope mnaendelea vizuri na maandalizi ya mechi kubwa Simba v Ali Ali....
nimekuwepo jijini hapa kwa zaidi ya miongo miwili sasa na nimeshuhudia mengi tofauti na hali ilivyo mkoani hususani katika suala na kuolewa na ndoa kwa ujumla
Kulingana na...
Habari wanaMMU it has been a while sijatokea hapa sababu ya purukushani za dunia hii
Je ulishawahi kujiuliza mke wa mwanaume anayeenda kazini kila siku asubuhi anachepuka muda gani?
Wakuu naweza kusema hasara moja wapo ya kuoa mama wa nyumbani ni kumwachia yeye muda mwingi wa kuchepuka pindi...
Igweeeee,
Heri ya sikukuu ya sabasaba.
Waswahili husema mwanamke mjinga huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe na sio MWANAUME.
Hawa waswahili walikuwa sahihi kabisa, katika ndoa mwanaume ananafasi yake pia mwanamke ananafasi yake lakini siku hizi hali imebadirika sana. Mwanamke...
Nakuongezea na afisa nyuki Dar anakazi gani?
Ufugaji mjini upo kiasi wa ndege na wanyama lakini ajabu mbuzi wa mjini wanajichunga wenyewe tena wanavuka barabara kabisa bila kugongwa
Wakuu,
Kama tunavyoelewa kazi za hawa maafisa kilimo ufugani na misitu katika halmashauri za wilaya mbalimbali hapa nchini.
Kama tunavyolifahamu jiji la Dar es Salaam na wilaya zake hakuna shamba,misitu wala wafugaji ambao wamaweza kuwa na uhitaji wa huduma za maafisa hao.
Kinondoni, Temeke...
Huo ushirikiano wanautolea wapi?
Shule inamfumo mzuri wa usalama, electric fence na cctv camera
Kwanin hawaelezi mtoto alitokaje nje ya gate?
Video za cctv ziko wapi?
Mitihani aliyokuwa amefanya kabla ya kupotea iko wapi?
Kwa kweli inasikitisha mno, Mwanafunzi
Naomba wana JF muisikilize audio hii kwa umakini pia vyombo vya serkali vinavyohusika vichukue hatua.
==========
UPDATES...
Ester Noah Mwanyilu, Mwanafunzi wa kidato cha tano mchepuo wa PCB, Shule ya Secondari Pandahill hajulikani alipo baada ya kudaiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.