Hahaha kwanza nicheke maana unachekesha sana kaka eti unalinganisha kuzaa kwa kawaida na kuzaa kwa operesheni!? Kwanza waulize wanawake wenyewe ni kwa nini wanahonga madaktari ili wafanyiwe operesheni! Chezea kuzaa kwa kawaida wewe!!
Pili hata kuzaa kwa kawaida kuna kidonda na kukiuguza mwake...
Unafikiri kwa kutumia makalio, nchi za watu utafanya mradi gani? Ndo maana dada zetu mkifika huko mnajiuza kwa sababu uvumilivu hamuna na maisha yenu wa kushindana yatawacost!!!!
TICHA: yani elimu siku hizi imeshuka sana na mitihani ya siku hizi imekuwa rahisi sana tofauti na enzi zangu.
MWANAFUNZI: kwani wewe ulisoma enzi zipi?
TICHA: enzi zile uwanja wa Man Utd ulikuwa ulikuwa unaitwa NEW TRAFORD.
kuzaa kwa uchungu??? mtaalamu inaonekana upo nyuma kitechnolojia, binti gani wa kizazi hiki cha dotcom ambao hata kupika chai hawezi akazae kwa uchungu??????????
hata mwanamke awe waziri (mshahara mkubwa kiasi gani) na mwanamme awe mwendesha mkokoteni (mshahara mdogo kiasi gani), bado mwanaume ndie atakaewajibika kwa matumizi ya ndani! ni moja kati ya vitu vinavyosababisha migogoro ndani ya ndoa maana ni lazime utamuuliza, na ukishamuuliza huyo mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.