Kama ilivyoelezwa Mimi naelekea kuhitimu bachelor yangu katika chuo cha kumbukumbu cha mwalimu Nyerere this year 2022 . Kama wazoefu naombeni ushauri wenu niingie mtaani na fikra gan kulingana na soko la ajira ? .
Naomba kuuliza mtu Akipata Sup anaweza punguziwa asilimia za mkopo wake?
Pia mtu anapomaliza mwaka mmoja kwenda mwingine anaweza kuongezewa asilimia kama alikua amepewa asilimia kidogo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.