Habarin wana JF,
Mimi ni kijana ambaye sijishughurishi sana na mambo ya wanawake. Niko busy na kazi zangu ila changamoto ninayokutana nayo kuna wanawake wananifuatilia na kuna wengine wananieleza live kwamba wananitaka kimahusiano napata shida namna ya kuwajibu pasipo kuwaumiza kwa mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.