Yan mie mwana CCM, mgao sijapata haya sh mia afu unishawishi eti nipinge hoja za ukawa!! Ntakuwa nimepotoka kisaikolojia na kujiondoa ufahamu. Siungi mkono ujinga wako
Tarehe 30/05 mwaka huu tulifanya interview chini ya tume ya utumishi wa mahakama nafasi ya hakimu mkazi kwny kumbi za national stadium.
Mpaka leo bado kimya, mwenye updates atujuze because naona wamwmwaga zingine 300.
mbona mkurugenzi wa habari bwn mnyika ameishawajibu vihoja vyenu, yani umetoka huko na viroba vyako unatapika 2 hapa u.halo wako, mtaweweseka sana na chadema haitakufa ng'o,
this is too much, sheria inabidi ichukue mkondo wake kwa manyang'au ya ACT na washirika wake, siasa za tanzania zinazidi kuwa za maji taka kabisa, mbinu zote hizo ni kutaka kuiteketeza CHADEMA?????????????, to hell with that evil mission.
kamwe mipango yote mufilisi haitawezekana,
isitoshe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.