Habar Ndugu
Nina Mdogo wangu anataka kwenda kusoma Diploma ya Social Work naomba unieleweshe upande wa ajira zake yaani mtu anakuwa na nani na anafanyia kazi wapi lakin pia vipi kuhusu upatikanaji wake wa ajira kwa sasa?
Wapendwa! Naomben ushauri wenu
Nina mdogo wangu amemaliza form four na amepata four ya 26
Kiswa B, English C, Lit Engl D
Bios, Civics, Geog---- D
Hist F and Math F
Je, anaweza kwenda kusoma advance au njia gani nyingine ya ziada ifanye ili asonge mbele kielimu?
Husika na kichwa hapo juu.
Ndugu zangu wapendwa naomben ushauri wenu
Kwan mwaka huu nilihitimu kidato cha sita kwa ufaulu wa division two ya 12 nikiwa na D flat kweny combination yangu ya PCB
Kwa ndoto zangu ninataman kuwa Doctor (MD) lakin kulingana na ufaulu wangu naona itakuwa vigumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.