Siku zinakwenda sasa na hakuna chochote kinachosemwa kuhusu suala la mbunge wa ccm na kiongozi mnene kabisa wa ccm ambaye pia anaita mapesa ya wizi vijisenti kufanya vitendo vya uchawi bungeni.
Mheshimiwa Sitta uliahidi kufanyia uchunguzi jambo hili, je umefikia wapi? Kama mnataka kufunika...
Habari toka kwa watu wa karibu kabisa na Maina Owino - huyu kiongozi wa ccm tawi la London zinatoa siri kubwa ya ufisadi wa huyu ndugu. Kwa mujibu wa waliosoma naye Shycom 94-96 na wale waliosoma naye Mlimani 97-00, inaonekana Maina amekuwa anahusika na ufisadi ambao ni wa kiwango cha juu...
Hii picha ni ushahidi wa zile habari zinazosemwa mtaani kuwa serikali ya ccm ina mpango wa kuua elimu ya watanzania ili kujenga taifa la watu wajinga wasioweza kuuliza chochote kuhusu mali zao zinazoibwa na kuuzwa kwa wageni kila mwaka...
Kuna mtu aliwahi kusema hapa kuwa kuna makubaliano ndani ya CCM kuwa na uwakilishi sawa wa dini kubwa nchini za uislam na ukristo. Matokeo ya uchaguzi Dodoma yanaonyesha kuwa waislam sasa wana-nafasi asilimia 75 ya uongozi wa CCM.
Ilivyokuwa CUF na viongozi wengi waislam watu waliita cuf...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.