(Mhe. Mbowe akiwa Mbeya alikiri wazi kuwa CHADEMA kwa miaka yote tangu kuanzishwa kwake kimekuwa ni chama cha HARAKATI... Lakini nilifurahi kusikia akiwaomba wenzake kuwa sasa ni wakati wa kukibadili Chama chao kutoka chama cha harakati na kuwa sasa chama cha SIASA.)
NDUGU NAPE, KWANI SIASA...
Mimi nimeisoma makala ile. Inaonekana imevuta macho na akili za wengi. Nadhani lengo la mwandishi ni kuleta "hoja ya uchokozi" ili kufanya akili zetu na watawala zifikirie zaidi ya zinavyofikiri sasa. Ni kweli, na nakubaliana na mwandishi, kwamba ni vigumu kuwafanya wakristo wasiamini kwamba...
Ndugu yangu TUNTEMEKE, hizo kauli zote hujazisikia mwenyewe, bali umezinukuu kutoka kwenye Magazeti ambayo nayo yamezinukuu kutoka kwa waandishi wao ambao nao wamezinukuu kutoka kwa wasemaji. Sasa katika mlolongo huo wa kunukuu, na kwa kujua baadhi ya waandishi wetu si waadilifu, sentensi ya mtu...
Yale yale ya majibu rahisi kwenye maswali magumu. Suala lilipo mbele yetu, na ambalo hakuna ayebisha, ni kuwa Dr. Ulimboka alitekwa, kupigwa na kuteswa na watu wasiojulikana na kutupwa kwenye Msitu wa Pande. Kama una maelezo tofauti na hizo facts tutakuelewa. Swali lako kwamba "kwa nini yule...
Hayo ni majibu rahisi kwa maswali magumu. Mnatakiwa mtatue kero ze walimu na sio kutafuta "mchawi". Mchawi wa migomo ni nyie wenyewe. Msikwepe wajibu wenu kwa kuwasingizia wasiohusika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.