Hivi kuna kilimo cha mbogamboga kinachochagua maji kwamba kinajua haya ni machafu na haya ni masafi au umekosa la ku comment si ukae kimya tu.. Kwani nini.....aaaah unaaibisha...
Kwa kweli kama hali ndio hii basi sisi eem wameshikwa pabaya na chaaa de ma..ha..haa.. sasa hapa hari si shwari kabisa..
sasa bro naaape anajaribu kuficha nini haswa wakati inaonyesha kabisa Mwenye ... kiti ameamua na kiti ndio chake... na mh.. kwa kweli kukuacha kwenye mataa ndio desturi...
Hakuna kitu kibaya duniani kama kukosa ukosefu wa fikra..halafu mbaya zaidi yes sir imewadumaza..mbaya kabisa ni ma selfish.. Na hili ndio anguko la magamba tu..huwezi kuizuia kweli ikawa uwongo..ukweli utabaki palepale...kama inauma chukua jembe kalime....si ndio kauli mbiu au..?
Usijali Haina haja ya kujikita katika kitu ambacho hauna uhakika nacho km hiyo ndio imani yako lakini kumbuka kuwa kila kitu kina sababu zake,na pia nobody perfect kwa hiyo pia inawezekana moja kwa moja serikali inahusika sababu serikali sio mti ni binadamu ambao wanakuwa na mamlaka na chombo...
Mmmm Hili Nalo Neno.. Kumbe sio mimi tu peke yangu ambae mpaka sasa,nashindwa kupata jibu,WHY.....? Mkapa..Arumeru then JK na Wazee Dar.. same Day.. Ila Baba Mwanaasha ni Mtaalam na yuko vizuri pale linapokuja swala la kafanye hili cuz tunapeana majukumu... huku akijua anakutoa kafara yeye Tulii...
umesoma kichwa cha habari we mbwira kabla hujachangia.. Au hauangalii unapokwenda utajigonga kwenye ukuta.. Funguka akili achana na maisha ya bora liende.. Wake up pambana na maisha na tafuta jinsi ya wote sisi tufanye nini ili tuikomboe tanzania yetu..km ccm wanakosea acha wasemwe ili waache...
walipoamua Kutoka nje kwa sababu ya kutokubaliana na mabadiliko ya sheria ya muswada wa katiba ilikuwa ni kwa manufaa ya chadema au ya wananchi..? Ulitaka Dr Slaa achukue hatua gani km wabunge wamefanya kazi yao ya kupingana muswada wa sheria unaotaka kupitishwa kuwa sheria ambao haujali masilai...
Haswaaa..hi,hi,hi,.. We umempatia kabisaaa yani wala hujakosea.. Ana hulka ya kulifanya lile linalopingwa halafu baadae anakana km sio yeye.. Jamaa anaishi maisha mazuri.. Yani Tz kiongozi u do something ukiulizwa unakana tu very eazy na maisha yanaendelea.. I nchi hivi kuna sheria kweli.. Na km...
Mhh mbona inaonekana kabisa ni vitu vya kutunga japokuwa sikatai utabiri kweli upo ila kwa hapa naona imekaa ki siasa zaidi na wala sio ki mafundisho,ili wanasiasa ndo waogope au..? Ila ni mawazo yangu tu,nisingependa na wengine wakubali maoni yangu,kila mtu na imani yake,ila namshukuru sana...
Siku zote kenye kuhesabu vitu huwezi kuanza na namba kubwa ukaziruka ndogo,na hivi ndo Magamba wanavyojaribu kufanya,ni wavivu wa kufikiri na wepesi wa kufanya,wavivu wa kutafakari wepesi wa klaumu,wagonjwa wa kifikra wpesi wa kukatiza Dosi kabla hajapona sababu wanajiona wao ndio bwana...
Mi nafikiri kuwa Kwa kweli tunaitaji ufahamu zaidi pale linapotokea jambo la kijamii i mean linaloigusa jamii ktk maradhi,chakula,education,transportation,mawasiliano,na mengineyo ambayo hawa viongozi wetu ndio haswaa tumewachagua ili kwa namna moja ama nyingine pale mambo yasipoenda sawa wao...
Kila binadamu ana uhuru wa kutoa maoni yake ktk kila jambo ambalo anafikiri linaweza likaleta maendeleo ktk nchi yake,na pia ktk siasa yapo mambo mengi ambayo kwa namna moja ama nyingine yakamuumbua mtu ama yakamdhalilisha au yakafanya watu tujue ni mtu wa aina gani may b anafaa kuwa kiongozi au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.