Inaelekea Tunataka Kuwaiga Jirani Zetu Wapenzi Wa Kenya Wanaobaguana Wenye Kwa Wenye Tena Si Kwa Sababu Ya Uwarabu Wala Uhindi, Hebu Tuwache Uwozo Huo, Na Tuangalie Maendeleo Ya Nchi Au Tumeishiwa, Idara Ya Uhamiaji Iko Mcho Kuwafuatilia Wageni Isije Nasi Weusi Tukawa Na Asili Za Burundi Na Rwanda
Me naona hakuna umuhimu wowote wa kumuona Rais kama kuna jambo muhimu utapita ngazi na utaratibu uloowekwa vinginevyo wasaidi wake wapo utawaona ama kwa suala la kumsalimia tu ah sioni kuna big issue, hata hivyo mbona kuna waliogombea na wamo ktk uwaziri? tuwache chuki binafsi, au mlikua family...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.