Ndiyo shida ya kupangiwa cha kuongea.
Unakuwa si wewe tena unavikwa huusika wa mtu mwingine.
Na ndiyo maana sifa zake zile uzijuazo haujamwona nazo leo.
Regards
Sister
Asa unataka abiria mwenye mizigo akapande gari gari??? Mfano huyo mama anayetoka feri na samaki wake apande nini?? Ukizingatia posta hakuna gari la kimara wala ubungo wala la mbezi. Unataka atembee kwa miguu kisa kabeba mzigo????
hivi kwa nini msiboreshe viwanda vilivyopo? mfano mzuri kiwanda cha Urafiki. kile kingeboreshwa chote kingetoa ajira kubwa sana hapa nchini na swala la nguo za mitumba tungesahau. mngeweka mitambo mipya, miundo mbinu mpya, management mpya, mngechukua wataalam kutoka nje waje watupe shule kuhusu...
Apige maombi, na ampeleke mtoto kwenye maombi. Hayo ya kukutanisha sehemu za siri za mama na mtoto ni kumwongezea mtoto laaana.
Aende kwa Yesu atamponya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.