Tafadhali kwa watu wa morogoro wanaojua kituo kinachotoa maelekezo(mafunzo) ya muziki notaz na upigaji wa kinanda na gitaa nijulisheni nataka nihudhurie.
Kwa yeyote mtu wa morogoro mjini anaye fahamu kituo chochote kinachotoa maelekezo juu notaz pamoja na upigaji wa vifaa kama kinand na gitaa plz ananisaidie kunielekeza wapi ntawapata. 0714620736
Jamani katika majina yaliyorudishwa na TCU na jina langu na wanadai hawana matokeo yangu F.vi, sasa nikiongeza ile submit button haiwi activated. ko kwa yeyote anaweza kunisaidia nifanye anisaidie na wanadai mwisho 9/8. asanteni
Jamani mi miongoni mwa waathirika wa heslb,kwa kutopata hata cent 1,lakin baada ya kuwaendea heslb ofisin kwao wamesema hivi:
Kwa waombaji waliokosa mikopo yaani majina yao hayapo kwenye web ya bodi pamoja na wale hawajaridhika na kiasi cha pesa ambacho bodi imetoa kwao, wataruhusiwa kukata...
serikali inajivunia kufaulisha kutokana na wanafunzi kufanya vizuri kwenye masomo hayo sababu wanafunzi wanabebwa na prac,sasa jamani kwa walimu wa masomo hayo fanyeni kama mmekosea changanyeni mambo,kinachotakiwa kuwa huku wekeni kule cha kule wekeni huku ili mradi mambo hayaendi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.