Habari zenu wadau wa Elimu, naomba msaada kuelimishwa/kueleweshwa kuhusu upangaji wa DIVISION baada ya kufanya mitihani ya NECTA O'level (form IV)
Natambua ni lazima ufanye masomo saba ili uweze kupangiwa Daraja (DIVISION.)
Msaada ninaotaka kujua/kuelimishwa, je nilazima ufanye Kiswahili kama...
Wadau poleni na majukumu. Naomba mnishauri.
Ninamjomba wangu (mtoto wa dada yangu) mwakani Inshalah nataka nimpeleke akasome VETA kozi fupi miezi mitatu mambo ya Uchomeleaji vyuma (Welding) Nilimtuma akafwatilie juzi wakamjibu amechelewa kujiunga mwaka huu na usaili umeshapita hadi mwakani...
Habarini wanajukwaa la Elimu... kwa heshima na taadhima ninajambo naomba msaada kwenu...
Nilimaliza elimu yangu ya sekondari (O'Level) mwaka 2002 Shule flani ya ufundi hapa nchini tuseme miaka 18 iliyopita... skubahatika kuchaguliwa kuendelea na masomo, kwa maana sikufanya vizuri... na baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.