.
Sawa mkuu, nilitamani nifahamu uwezekano wa kusave ukiaangalia na asili ya eneo husika mfano kwa life ya Dar na Dodoma kwanza Moro N.k ama ukaaji wa hostel na nje wapi ni afadhali katika kusave??
Anhaa sawa, sikuenda chuo kwa sababu ya matatizo ya kiafya,
So unaitumia kuizungusha katika biashara zako? So hii kitu inawezekana sio? Upo mkoa gani(chuo) Gharama za maisha hapo hazikuathiri chochote???
Habari za wakati huu,
Kwanza kabisa nikiwa Kama mTanzania naungana na waTanzania popote walipo ndani na nje ya kuomboleza kifo cha Hayati J. P Magufuli!
Niende Moja kwa Moja kwenye Mada
Kama tunavyojua bodi ya mikopo. Imekuwa ikitoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya kujikimu katika maisha yao...
Kwa gharama za maisha no doubts kwamba UDOM pana unafuu, kuanzia accessibility ya hostels itakayopunguza gharama za kupanga nje Though UD pana raha yake (kidding
Huyu nilianza kupata wasiwasi alipotoka jela alininenepa sana, nikajua alikuwa anapewa ugali na kazi zake wanaume walifanya badala yake, ndio nathibitisha jamaa anatoa jicho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.