Samahan ndugu zangu, hivi kama umeapply diploma halafu ukachaguliwa vyuo zaidi ya kimoja unatumiwa code ili uconfirm kimoja au inakuaje?
Na je kama kuna kuconfirm alafu ukashindwa kuna shida?
Jamani ndugu zangu nilikuwa naomba kujuzwa juu ya hili jambo nipate uhakika sio kubahatisha bahatisha maana nimeambiwa na wengi sana hili jambo.
Je, hivi ni kweli kwamba watu wanaosoma Diploma ya Mechanical Engineering huwa wanasoma utengenezaji wa magari zaidi?
Naombeni msaada hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.