Wakuu msaada tafadhali kuna matatizo tunayaona yakawaida lakini nimageni kwenye jamii yetu. hata baadhi ya wazee ukiwauliza wanasema hayakuwepo kabla.
matatizo yenyewe ni Haya yafuatayo;
1.KANSAY A SHINGO YA UZAZIKWA AKINA MAMA..ukiwauliza wazee wakale wanasema hakukuwa na magonjwa kama haya...
Watu walipigwa shiiiiiii.ikawa kimya""watu waliziogopa mpaka cm zao""watuwalitembea jichonyuma marakwamala utadhania wametoka kuiba wake za watu""ukikutana na polis mioyo fyaaa utadhani unakesi"" diffender mitaani utadhani boko haram wameingia bongo kama tunduma mabomu kama bast zatairi za gali...
Ndugu zangu nimeshuhudia watu wengi wakilalama kwamba aliwai kukamatwa akatupwa ndani kwakuhisiwa kuhusika na mauwaji frani akakaaa jera kwamda wa miaka miwili na miezi minne baadae upelelezi ukaonekana mtu huyo hakuusika.
Baadae akaja aka achiliwa na kuludi mtaani bila fidia yoyote. Wengine...
Kama ilivyo kazi ya Mungu kulilinda taifa lake alipendalo, mara nyingi huinua nabii wa kuliokoa taifa kwa wakati mwafaka.
Hapa Tanzania Mungu aligundua tutakumbwa na janga la Corona akamwinua Rais Magufuli akatumia ujasiri na misimamo yake kututoa hofu dhidi ya Corona na hakika tupo salama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.