Binafsi naamini MUNGU aliumba ADAM NA DEMU WAKE tu sisi wengine tulikuwepo..
Naamanisha ADAM ni baba wa taifa la MUNGU tu [wayahudi]
Sisi wengine tulikuwepo wepo na destufi zetu..
Ukianza kusoma mwanzo utaona baada ya kufukuzwa bustanini ADAM ALIKIMBIA akawa analima na kuchunga ..akapata...
kwa taarifa yako ukilinganisha miradi ya ufugaji wa kuku inayoendelea hapa nchini kwa sasa mfano ,LEAD PROJECT( LIVELIHOOD ENHANCEMENT THROUGH AGRI.DEVELOPMENT ) RLDC,INANDES FORMATION, MOVEK, N.K hawajaweza kutosheleza mahitaji ya kuku wa kienyeji hapa nchini ukiacha nchi za nje..hivyo usika...
mkuu hongera sana kwanza kwa ubunifu wako,mimi nataka master moja 4/4 vyumba viwili vya wastani vya kulala dinning,sebule,jiko,public ..mchoro usiwe na paa la kukompricate
laki ipo100000 ,,nitumie sample kwenye privete inbox..
nahitaji ramani ya nyumba yenye vyumba viwili vya kulala,master moja,dinning,sebure ya kuweza kukaa seti mbili za coach na vikoro koro kadha wa kadhaa,jiko,stool, choo cha public..SIMPLE BUT COMPLEX......
hivi silaha kama bastola, AK47 nk.zinapatikana duka gani hapa tanzania? kwa maana nimesikia leo magari yametekwa kiulaini kutoka tbr. NAHITAJI MOJA YA KUNUNUA.
mimi ni mkulima na mfugaji niliamua kujikita huko baada ya kuhitimu mafunzo yangu ya atadi za kazi 'kikwzo ninachokutananacho ni hawa wanaojiita wanamazingira ,nifanyeje shughuli zangu za kilimo na ufugaji ili nikwepe UHARIBIFU WA MAZINGIRA?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.