Search results

  1. Ofisa mjumbe

    Je, kulikua na binadamu kabla ya adamu na hawa/eva?

    Binafsi naamini MUNGU aliumba ADAM NA DEMU WAKE tu sisi wengine tulikuwepo.. Naamanisha ADAM ni baba wa taifa la MUNGU tu [wayahudi] Sisi wengine tulikuwepo wepo na destufi zetu.. Ukianza kusoma mwanzo utaona baada ya kufukuzwa bustanini ADAM ALIKIMBIA akawa analima na kuchunga ..akapata...
  2. Ofisa mjumbe

    Kwanini watu wa mikoani wanapenda kusalimia salimia?

    Mbona maneno MACHAFU SANA TENAH
  3. Ofisa mjumbe

    Nahitaji shamba la kulima mpunga

    Nahitaji shamba la kulima mpunga kwa yeyote mwenye nia tunaweza ungana au akanikodishia tulime au nilime mpunga
  4. Ofisa mjumbe

    Series (Special thread)

    tehransijaona utamwake
  5. Ofisa mjumbe

    Graduate msio na kazi kafugeni kuku. Mradi huu unalipa sana

    kwa taarifa yako ukilinganisha miradi ya ufugaji wa kuku inayoendelea hapa nchini kwa sasa mfano ,LEAD PROJECT( LIVELIHOOD ENHANCEMENT THROUGH AGRI.DEVELOPMENT ) RLDC,INANDES FORMATION, MOVEK, N.K hawajaweza kutosheleza mahitaji ya kuku wa kienyeji hapa nchini ukiacha nchi za nje..hivyo usika...
  6. Ofisa mjumbe

    Masahihisho: Halijatangazwa Baraza Jipya la Mawaziri!

    kwa baraza jipya la mawaziri, wengi wetu tulitegemea litakuwa jipya ila kwa bahati mbaya sio jipwa ila ni watu tumewapandisha vyeo ......
  7. Ofisa mjumbe

    Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

    nahitaji vifaranga 600 vya wiki 5 had 12 napatikana dodoma mjini...
  8. Ofisa mjumbe

    Ramani ya Nyumba hii Inauzwa kulipia HESLB kwa tuliokosa Mkopo wa vyuo vikuu

    mkuu hongera sana kwanza kwa ubunifu wako,mimi nataka master moja 4/4 vyumba viwili vya wastani vya kulala dinning,sebule,jiko,public ..mchoro usiwe na paa la kukompricate laki ipo100000 ,,nitumie sample kwenye privete inbox..
  9. Ofisa mjumbe

    Raman ya nyumba inahitajika haraka...

    nahitaji ramani ya nyumba yenye vyumba viwili vya kulala,master moja,dinning,sebure ya kuweza kukaa seti mbili za coach na vikoro koro kadha wa kadhaa,jiko,stool, choo cha public..SIMPLE BUT COMPLEX......
  10. Ofisa mjumbe

    Kama ni wewe itika!

    kwa wale waliohitimu form six 2007 tabora .shule ya sekondary milambo tena mkondo wa PCB.mpo? :lol:
  11. Ofisa mjumbe

    camera,camera nzuri.

    wanaJF, nahitaji camera dijital ya kisasa ya bei nafuu,iwe mpya au mtumba .nitafute hapa hapa sehemu yetu.
  12. Ofisa mjumbe

    In case You missed it: Watch Darwin's Nightmare!

    tafadhali hiyo move nitumieni!
  13. Ofisa mjumbe

    Udom,tumefiwa,

    poleni sana.
  14. Ofisa mjumbe

    nahitji msaada!

    hivi silaha kama bastola, AK47 nk.zinapatikana duka gani hapa tanzania? kwa maana nimesikia leo magari yametekwa kiulaini kutoka tbr. NAHITAJI MOJA YA KUNUNUA.
  15. Ofisa mjumbe

    Msemo wa Leo....

    Ukiyanywa maji'' jiandae haja ndogo'' na shamba la pili pli mtoto hachezei tunda la kuiva.
  16. Ofisa mjumbe

    TBC1 (television ya taifa) wanapotosha taarifa kwa umma... Why?

    kwani hujui kuwa mkurugezi wa TBC1anateuliwa na rais? SCRIPT zao lazima ma oditor wazipitie vizuri wasije WAKATIDOLIZED
  17. Ofisa mjumbe

    nahitji msaada!

    that is!
  18. Ofisa mjumbe

    nahitji msaada!

    mimi ni mkulima na mfugaji niliamua kujikita huko baada ya kuhitimu mafunzo yangu ya atadi za kazi 'kikwzo ninachokutananacho ni hawa wanaojiita wanamazingira ,nifanyeje shughuli zangu za kilimo na ufugaji ili nikwepe UHARIBIFU WA MAZINGIRA?
Back
Top Bottom