naona unaongea ngonjera tuuu
hao akina dau kwani hawana internet mpaka uingie wewe kumtetea kaka yao?
kwa namna ulivyojibu post nitakuwa nimekugusa sana hehehehe
sikunyingine tafiti kisha jadili
mbunge ambaye hajaenda shule kaleta maendeleo ya kutisha mafia. uwanja wa ndege, bandari, shule za msingi na sekondari, visima vya maji, hospitali na mengineyo sasa wananchi hawajali kama nyie mmesoma au la watu wanataka maendeleo. sasa huyo mbaraka kaleta maendeleo yepi? kama mbunge wa sasa...
Tatizo wanaompinga mbunge wa sasa hawataki kusema ukweli
Buji kaifanyia Mafia mazito mengi lakini kwa sababu ya chuki binafsi wanamtangazia eti si msomi kama wao
sasa mafia ni nchi? kuna ubaya gani watu kuuliza mnakopata pesa za miradi yenu mlioijaza sehem moja tuu?
mimi siwakimbii kama wengine walivyowakimbia hapa.
Muhimu ujumbe uwe umefika
nishakwambia acha kujipendekeza akina Dau. Ndugu zake wanakuchukia lakini mwenyewe unajiona ni family member. nyinyi mnamngangania mbunge aondoke ili mumweke kijana wenu lakini mmeshindwa kukubali ukweli kuwa mafia haongozwi na mtu mmoja. Hivi kwa nini usiende...
Wenyewe wanadai wanafadhiliwa na watu nje ya nchi je ushahidi anao kuonyesha hayo?
inasemekana kakodisha ndege 5 kurudisha mahujaji toka maka pesa anatoa wapi huyu?
hivi Dau anawapa nini nyinyi?
yule SR kakimbia alitaka kutisha tisha watu humu hajarudi tena. Dhiki kitu kibaya sana jamani. Sasa kama mnautaka ubunge kwa nini msifuate taratibu bila kuwapakazia wenzenu?
Huyu mbaraka Dau si ana kasha na fisadi ikbali wa bagdadi?
kesi yao imeshia wapi? kuna mtu alileta kipande cha gazeti kuonyesha aliitwa mahakamani wameshtakiana sijui kimepotelea wapi
Utawatisha hao hao akina mwanakijiji na wengine hapa umegonga mwamba Mimi nitakuambia ukweli. Hivi Dau atakutumia mpaka lini wewe? anakulipa shilingi ngapi kuja humu kutetea ufisadi wake? mimi siogopi kitu na utatisha hao hao wengine. Ukweli tutausema na humu ndani siondoki.Tushajua mipango yenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.