Mm Sijakumbana nao huo hapo naskia sikia. Ila ofkooz Wana tendency ya kuhus ubara ni tatizo hasahasa katika mlengo wa maadili na tabia. Huku hata ujinga ni ulemavu.. unaweza kutengwa kimazungumzo kisa mitaa huijui au kinachozungumzwa hukijui..
Mm naona inategemea pia na tafsiri binafsi ya...
Poa ila muhimu ni lazima ujiambie kuwa fursa zipo. Ofkooz Zanzibar zipo nyingi tu! Hata kumiliki kampuni wala sio Kaz kubwa... Kampuni nyingi zinapata pesa nansio competent kihivyo.
Zanzibar watu walioishia form four na kupata training za vitendo miez mitatu au sita wakapata kampuni sahihi...
Huku ndo kwenyewe na pesa za kubadili magari utaipata mapema sana. Madoni wa huku wanavaa ndala na vibukta- waitalia. Lijitu linakodi kisiwa miaka mitano linakaa na familia yake tu
Unatumia organogram gani ile ya piramid au unatumia flat? Uendeshaji wa kampuni (ndani ya ofisi) hautegemei mahusiano na wateja. Wew unataka namna ya kukontrol/manage kampuni au unataka kufanya customer relation?
Ile ya info iko active Kuna bimama huwa anaitumia. Lakin kama utakosa utanichek dm nkupe namba ya Mr. Martin
Lakin sidhani kama hiyo itakuwa njia sahihi ya wewe kupata ajira. Kuna yeyote alitewahi kupata kwa staili hii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.