Dah!! Nashukuru sana mkuu vipi kuhusu upeo wako na imani?? Aaaa naona wako ni mkubwa kuliko imani ndiyo maana hujui hata imani ni nini!!! NONSENSE [emoji57]
Mi ndiyo wamenichoshaaa sitaki hata kuwasikia, wana mbinu nyingi za kupata hela.
Wanauza magazeti kanisani
Vitabu
Maji wanakwambia ya upako ila ukienda na yakwako wanakwambia hayata pata upako kwasavabu wabaya wameyaona toka unatoka nayo nyumbani, kwahiyo ni vyema ununue ya kwao
Wanauza mafutaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.