Tangu tupate Uhuru nchi yetu imekuwa ikitawaliwa na CCM. Ukipita katika majimbo mbali mbali hasa yaliyo chini ya CCM watu wake ni wanyonge na wamezungukwa na umaskini mkubwa.
Kuna baadhi ya majimbo watoto bado wanasoma kwenye shule zilizojengwa kwa udongo na kuezekwa kwa nyasi. Sehemu zingine...
Katika nchi yetu kuna mambo mengi ya uvunjifu wa Amani yalitokea,Lakini sijawahi kuwaona viongozi hawa wakikemea. Kuna watu wametekwa, kuuawa, Kubambikiwa kesi mbalimbali, na mengine yanayo fanana na hayo. Mbona viongozi hawa wapo kimya?
Viongozi hawa wa Dini wamekuwa wepesi kutoa matamko pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.